Yuko wapi mhe. Samwel Sitta mbona kimya sana

Yuko wapi mhe. Samwel Sitta mbona kimya sana

Wajanja kwa kujua hulka yake wakamchomekea katiba mpya wakijua itakuwa fake na itamuzika kisiasa. Yeye akawa spika adui yake Chenge akawa mwandishi wa katiba hewa. Jumba lote bomu limemwangukia yeye.
Njia pekee ya kulinda heshima yake ni kustaafu siasa. Akigombea urais atazidi kuumbuka.
 
Ni mgonjwa wa ubongo. Maskini wa akili na mchovu wa fikra. Kchwa chake si riziki. Hajitambui. Zigo lingine kwenye Baraza la mawaziri.
 
Wadau nawauliza wapi naweza kumpata, kumouna na kupata yaliyomo moyoni mwake mzee wa Viwango Mzee Samwel Sita aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa.Tangu atoswe kugombea Urais wa Jamhuri mwaka 2015 hajatokea hadharani kutoa maoni juu ya mchakato wa uteuzi pia maoni yake juu ya mzee wa Pushup?Amezila au amekimbilia Kenya.Samwel Sita njoo, toa neno tukisikie.
 
Atakuja maana amekusikia. Kuna kazi anamalizia.
 
Wananchi wa URAMBO hawajitambui wamempa mkewe mama Sitta ubunge,utafikili akina Sitta wao pekeyao ndo wana akili ya uongozi,na wao wana Urambo wana MATOPE ya kilimo cha TUMBAKU
 
Mimi nitajitahidi nisiwe msaliti kwa jamii pana. Nikiwa upande wa wakoloni wanaokandamiza wapigania uhuru nitasalia huko au nitajitahidi kuhamia kwa wapigania uhuru, ila sipendi kubaki ktk pande zote mbili, ni usaliti
 
Saivi anyamaze tu kmyaaaa. Maana akibwatuka tu UVCCM wanatumwa haraka kumjibu kama alivyofanyiwa Membe. Vngnevyo aisifie serikali.
 
Wadau nawauliza wapi naweza kumpata, kumouna na kupata yaliyomo moyoni mwake mzee wa Viwango Mzee Samwel Sita aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa.Tangu atoswe kugombea Urais wa Jamhuri mwaka 2015 hajatokea hadharani kutoa maoni juu ya mchakato wa uteuzi pia maoni yake juu ya mzee wa Pushup?Amezila au amekimbilia Kenya.Samwel Sita njoo, toa neno tukisikie.
Fisadi lowasa bado anashine
 
Nikimkuta analiwa na simba, namuongezea simba kachumbari
 
Ile familia ya rahana make bi sitta alihujumu Elimu yetu! Akaka MME tukamwamini ni V ijana wa baba wa Taifa akatamani million 400.. ktk katiba maoni yawatz yakatupwa pembeni!! vizaz vya mafarisayo na masadukayo viangamie vyote!
 
Back
Top Bottom