Hana jipya, mapendekezo ya Bunge ambyo yeye Tundu alikuwa mchangiaji mkuu waliaachia mamlaka ya uteuzi. mamlaka hiyo ilijiridhisha na kuona hawana hatia. yeye kama anao ushahidi muhimu aende mahakamani akafungue kesi kama livyokuwa akifanya Mtikila, asingoje kwend kubwabwaja bungeni sehemu...
Mleta mada weka ushahidi ni wapi lowasa laituhumiwa kwa kwepa kodi. lowasa ametuhumia kwa kufisidi nchi, ufisadi na ukwepaji wa kodi ni vitu viwili tofauti japo vyote vinaathari katika mfuko wetu wa hazina. mpk
Bajeti inayopitishwa na Bunge haina shida ndugu yangu, tatizo lipo kwa wa serkali wserkaliakutumia yao vibaya kutumimamlakakutumiaafedha hizo kutumikutummaneno mazuri ya kiuhasibu na kiutawala ilimradi watafune hela hizo.
Na hii hupelekea wizara flani kupokea na kuifanya hazina kufanya...
Ukiangalia mapanamapainaweza ikawa ndio hao tatizo ni kwamba wao hawakuanguka signatures wapo waliojifanya vihelehele wa kubebeshwa mizigo kuifikisha sehemu husika hao ndio watakao umia na wakome kubeba vya haramu kwa niaba ya wengine
Wewe ni Thomaso utabaki na umbumbumbu wako hivyohivyo. Hizo fedha siku ya Ijumaa alikuwa anatolea ufafanuzi wa maamuzi waliokuwa wamekubaliana na Speaker allipopelekewa kwa ajili ya kuidhinisha. Na kama ulimsikia vizuri siku ile alipokuwa anazungumzia akasema naambiwa tayari fedha zimekwisha...
Juma atuache, hatuchagui rais wa IMF na WB au wa EU kwa hali ilivyo sasa nchini let consider our beloved country as a company and therefore tunamtafuta Manager atakaeweza kumanage vizuri idara mbalimbali atakaeweza kumanage our natural resources and maximize outputs. Huyo leader anaemtaka yeye...
Watumishi wa umma hawana cha kuhofu wao ni watendaji wa umma wanatumikia umma na kuripoti kwa serikali tawala au chama tawala, sheria zipo zinawalinda katika shughuri zao, akienda kinyume na sheria na taratibu za kazi anaadhibiwa hata sasa. Ningekuona kama suali lako liwe na mashiko useme...
Na nyie watu wa tabora mbadilike, kila muhura mmnawakilishwa na wasomali, kama sio msomali familia ileile hakuna jipya, mbunge alikuwa sita magreth ni mkewe mie naamini alikuwa pia mshauri wa sita, kama sita amefeli kulitetea jimbo kero zake serikalini maana yake huyo mama naye alifeli...
Mmetulisha nyasi bado mnalalamika ngoja nao waonje hata hizo siku mbili. Case kuchukua siku nyingi ilikuwa ni justification ya zimwi likujualo halikuli likakwisha. Hiyo adhabu ni chamtoto na ingepaswa kupigwa within a yr. Hii nchi tunadharauliana sana. Ipo siku...TUTAHESHIMIANA TU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.