Recent content by BEZO JR

  1. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Kwa nini huitaki hii mpya?
  2. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Anha,hilo nilikuwa silijui mkuu.
  3. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Ahsante mkuu..sema hawapaswi kuwa wana built app from the scratch..nahisi wangekuwa wanafanya maboresho madogo madogo ya mara kwa mara kwenye App original kulingana na mahitaji na mapendekezo.
  4. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Sahii mkuu,mi nmefanikiwa kurudi kwa App ya zamani..
  5. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Mi nmeamua kurudi ya zamani aise,nmeitafuta APK nimeipata..nimeiondoa hii mpya
  6. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Kabisa mkuu..video haziplay pia..inbox pako upside down..hii wamewahisha kuiachia kabla ya muda nadhani...nimerudi kwenye website pia..natamani nirudi kwenye app ya zamani ndo imetoka hyo aisee
  7. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania Siwezi kulala njaa inauma, nipo ugenini

    Sahihi mkuu..OMAD ni kifupisho cha One Meal A Day.
  8. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania Siwezi kulala njaa inauma, nipo ugenini

    Ahsante mkuu..hapo kati ni mwendo wa maji+electrolytes na plain black tea.. Hii huwa naifanya once per month.but nafanya 48hrs mpaka 54hrs once every week..na pia nafanya OMAD..sikumbuki mara ya mwisho kula milo miwili ni lini..
  9. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania Siwezi kulala njaa inauma, nipo ugenini

    Hatoboi huyu..huwa napiga mpaka 96hrs.
  10. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Sahihi kabisa mkuu...japo huwa siyo mtu wa kukata tamaa..ntarudia tena kwa ubora zaidi.
  11. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Ahsante mkuu..hyo project nlikuwa nafanyia mkoa tofauti na nilipo kikazi..niliangushwa na vibarua kwenye umwagiliaji..vibarua waliacha kumwagilia mazao kwa wiki mbili bila sababu na mimi sikuwa na taarifa..hivyo asilimia kubwa ya mazao yalinyauka..siku naenda shamba nlilia mnooo kutokana na...
  12. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Aisee,pole sana mzee..ni wachache wanaweza kuhimili hyo hali. Binafsi nimewahi kupoteza mil 7 kwenye project fulani ya kilimo..niliokoa laki 2 tu...hyo ni 2020
  13. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Duh kwamba uliweka stake ya Mil 5?
  14. BEZO JR

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Katika watu laki moja wanao beti,walio piga hiyo pesa wapo wangapi?
Back
Top Bottom