Ahsante mkuu..sema hawapaswi kuwa wana built app from the scratch..nahisi wangekuwa wanafanya maboresho madogo madogo ya mara kwa mara kwenye App original kulingana na mahitaji na mapendekezo.
Kabisa mkuu..video haziplay pia..inbox pako upside down..hii wamewahisha kuiachia kabla ya muda nadhani...nimerudi kwenye website pia..natamani nirudi kwenye app ya zamani ndo imetoka hyo aisee
Ahsante mkuu..hapo kati ni mwendo wa maji+electrolytes na plain black tea..
Hii huwa naifanya once per month.but nafanya 48hrs mpaka 54hrs once every week..na pia nafanya OMAD..sikumbuki mara ya mwisho kula milo miwili ni lini..
Ahsante mkuu..hyo project nlikuwa nafanyia mkoa tofauti na nilipo kikazi..niliangushwa na vibarua kwenye umwagiliaji..vibarua waliacha kumwagilia mazao kwa wiki mbili bila sababu na mimi sikuwa na taarifa..hivyo asilimia kubwa ya mazao yalinyauka..siku naenda shamba nlilia mnooo kutokana na...
Aisee,pole sana mzee..ni wachache wanaweza kuhimili hyo hali. Binafsi nimewahi kupoteza mil 7 kwenye project fulani ya kilimo..niliokoa laki 2 tu...hyo ni 2020
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.