Recent content by beyanga

  1. B

    Mbatia kuongoza POAC!

    ​semeni yoote lakini 2015 chadema inachukua nchi poleni kwa maumivu makali ukweli unauma bana
  2. B

    Zitto tena kachafua hali ya hewa bungeni

    Hatuitaji rais anayedondoka hovyo hovyo hadharani
  3. B

    CCM ndiyo imetufikisha hapa sio upinzani

    ​akili ndogo kuongoza akili kubwa mtaji wa ccm
  4. B

    JOHN MNYIKA: Salamu Za Mshikamano Kuunga Mkono Maandamano Ya Wadau Wa Habari

    tujulishe wewe ni msemaji wa ccm?maana naona htaa ccm wamekuzidi busara ​akili ndogo kuongoza akili kubwa =mtaji wa ccm
  5. B

    JOHN MNYIKA: Salamu Za Mshikamano Kuunga Mkono Maandamano Ya Wadau Wa Habari

    ccm wanadumaza akili yako jiangalie kwenye kioo utajisikia vibaya kuwa msaliti sababu ya mtaji wa lumumba shame on you maumivu yakizidi meza panadol
  6. B

    JOHN MNYIKA: Salamu Za Mshikamano Kuunga Mkono Maandamano Ya Wadau Wa Habari

    ​ushauri wa bure kunywa pombe asubuhi sio nzuri kwa ubongo wako
  7. B

    J.K., Laigwenan Lowassa ni mtu muhimu kwako, asikudanganye mtu

    ​peleka hoja zako ccm hazina mshiko hapa
  8. B

    CCM ndiyo imetufikisha hapa sio upinzani

    nape amechanganyikiwa mzee mukama alisema kweli anakurukupa anabwabwaja ni vuvuzera hajui siasa amuulize ushauri rostam aziz vingineyo tutamsahau wait and see
  9. B

    Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

    chadema ni nguvu ya umma ccm ni nguvu ya pesa hamuwezi kushinda people's power,makaburu,gadafi,hosein mubaraka,idi amin na sasa inafuata ccm kwi kwi kwi tumewashika pabaya.
  10. B

    Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

    ..'mchakato unaendelea'' ,''tuko mbioni '', ''tunajipanga kulifanyia kazi'', ''mawazo tumeyapokea ,''serikali yenu ni sikivu'', ''hili tumelichukua'', Tumejipanga kikamilifu, Hilo tatizo litakua historia,Tuwe wavumilivu kwa mda huu mfupi, Tume imeundwa kuchunguza tatizo,..... tunafanya upembuzi...
  11. B

    Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

    hakuna wabinafsi kama ccm . 1.ni wezi wa mali ya umma. 2.ni chama chenye kufadhiri wana uamsho. 3.ni wezi wa mali ya umma. 4.ni chama kinachoendekeza makundi. 5.ni chama kinachoanzisha ukanda na udini. 6. viongozi wake wandhurumu wazee wastaafu. 7.viongozi wote wa ccm ni waongo na wabadhirifu
  12. B

    Rais Kikwete akutana na wahariri; asema madai ya walimu hayatekelezeki!

    atazungumzia serikari kuanzisha mfuko wa futari kabla ya bajeti kuisha
  13. B

    Kuelekea 2015, tuna kundi jipya la urais CCM - Kigwangalla

    ​hakuna cha kigoda wala kiti rais atatoka chadema tu full stop
Back
Top Bottom