Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,491
- 19,323
In fact wabunge wote wanaoteliwa na rais huwa hawawakilishi wananchi bali wanawakilisha serikali hiyo hiyo inayotakiwa kusimamiwa na bunge; wanaweza kuteliwa ili wawe mawaziri au wawe ni watetezi wa serikali wakati inapokamatwa koo na wabunge wengine. Kwa hiyo mbunge wa kuteuliwa kupewa madaraka ya kusimamia kamati za bunge ambazo kazi yake ni kuisimamia serikali, ni makosa makubwa sana kama ya 1+1=1