nimehitimu form six na nimepata div 3 kwa comb ya CBG=CCD nilikua nataman kupata DEGREE OF PETROLEUM FRM UDSM nahitaj ufahamu kwa mwenye kuelewa course hiyo
karibun sana wana jf napenda kutoa taarifa kua kwa anaehitaj shule za private kwaajir ya kwendelea na kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2014/2015 aje TAQWA PRIVATE HIGH SCHOOL iliyopo MWANZA GHANA kwa combination zifuatazo
1:HGL
2:HKL
3:EGM
4:HGK
5:HGE
6:PCM
7:PCB
8:CBG
ada ni...
Nilikua na division III 29 ila sijapata kuchaguliwa, hivyo basi naombeni mawazo yenu nini cha kufanya?
1:Kurisiti
2:Chuo(chuo gani)
3:Jeshi(kama nafasi zipo)
4:PolisiI (kama nafasi zipo)
Imebalance comb ya CBG na HKL
one day mrs juma was given an promise by her boyfriend(remember mrs juma is already married) the promise given was "I'LL COME SOON AFTER YOUR HUSBAND LEAVE" will be continue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.