Wana jukwaa jana niliamka nikiwa na Buku Jelo mfukoni, mara nyingi huwa na BET M-BET, Jana nikaamua nibadili mboga kwa kutumia Buku jelo (1500) yangu, niliuliza namna ya kubet TATUMZUKA nikaelekezwa, nikabet wakala, nikabeti tena wakala, hahahahahahaha nikasema hawa jamaa sio watu wema nikasema...