Recent content by bestboy

  1. bestboy

    JamiiForums Tanzania Huyu kibaka hatonisahau kwa hii adhabu niliyompa

    Hama huo mtaa kama unamuacha mzima... atakurudia for revenge
  2. bestboy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya Dstv kupanda kuanzia Agosti mosi 2025

    Mpira gani unaangalia kwa 11,000???
  3. bestboy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya Dstv kupanda kuanzia Agosti mosi 2025

    Kwamba azam hakuna ESPN, DISCOVERY CHANNEL, HISTORY CHANNEL???
  4. bestboy

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje mpaka PSG ameruhusiwa kutengeneza timu iliyokamilika namna hii?

    Muache dharau kwenye mpira, PSG kufika fainali isiwe kigezo cha kudharau timu nyingine. Mbona wamefungika kiaibu sana.
  5. bestboy

    JamiiForums Tanzania Trump aitaka Israel kutoendelea na mashambulizi yake dhidi ya Iran

    Nimesoma comments zote humu, nimegundua wewe akili zako ni ndogo na hujui lolote linaloendelea kwenye hii vita. Unaandika kiushabiki sana na unabishia hata mambo yalio wazi kabisa.
  6. bestboy

    JamiiForums Tanzania Usimkopeshe pesa mke wa mtu

    Ulimkula???
  7. bestboy

    JamiiForums Tanzania Kwa hili nawapongeza Mikia Yanga tuna cha kujifunza. Tuache Ushabiki Maandazi

    Sasa vuta picha angekuwa na bajeti kama ya hao wengine ingekuwaje?
  8. bestboy

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: CCM inawachama milioni 13 yoyote anayefikiria kukipasua chama hiki ajifikirie mara mbili mbili

    Usidhani wote waliomo humo ni CCM. Kuna wenye kadi mbili mbili pia. Na sio wote waliopo humo wananufaika wengi wanafuata mkumbo tu.
  9. bestboy

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: CCM inawachama milioni 13 yoyote anayefikiria kukipasua chama hiki ajifikirie mara mbili mbili

    Asilimia kubwa ya hiyo idadi wapo kwa ajili ya kupata kinga kwenye mambo yao si kwa imani kwa chama hicho.
  10. bestboy

    JamiiForums Tanzania Wireless earphones zenye bass.

    Kwa bajeti yako ndogo tafuta oraimo Wapo vizuri.
  11. bestboy

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata Common Interface adapter ya Samsung TV?

    Habari zenu wanajf. Nahitaji msaada wa kupata kifaa kwa ajili ya matumizi ya camcard kwa samsung tv. Kuna port nyuma ya TV lakini inahitaji adapter ili kupokea Camcard. Kwa yeyote anayefahamu wapi naweza kupata kwa hapa Dar nitashukuru kupata mawasiliano yao. Asanteni.
  12. bestboy

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wakandarasi barabara za mwendo kasi hawajalipwa lakini wameombwa kujifanya kama kazi inaendelea ili watu wasikasirike kuelekea uchaguzi!

    Wewe ndo hujui kitu kabisa, bora ukae kimya. World bank wanaipa pesa serikali ili iwalipe wakandarasi, world bank hawalipi moja kwa moja wakandarasi. Shida hizo hela hazifiki kwa wakandarasi kwa wakati.
  13. bestboy

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya ukurasa wa Yanga na ukurasa wa Simba huko Instagram

    Ukiangalia kwa haraka haraka unaweza kudhani ni page ya wauza kanzu
  14. bestboy

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Jela za Ujerumani na Denmark?? Daaaah. Wanangu wa Mbagala, life isn't fair at all

    Nafikiri jela ni all about freedom na sio uzuri wa chumba. Hata uwekwe kwenye apartment kubwa na la thamani kama huna freedom ni sawa tu na mfungwa na segerea.
  15. bestboy

    JamiiForums Tanzania Amkemi Watanzania: Kina Tundu Lissu na Makelele ya Katiba Mpya Hayawezi Kutuokoa – China Imetoa Mwongozo wa Namna ya Kufikia "Nchi ya Ahadi"

    Bila katiba mpya, sahau kuifikia China. Katiba zenyewe za Afrika zinaminya hayo maendeleo.
Back
Top Bottom