Kwa mgawanyo wetu kwa simpo jumla 6000,6500,7000 nk. Hapo rejareja ni 10k na punguzo lipo nafikiri kwa mbez bei ya simpo inalandana. Ila kuna quality ya chini ama mzigo umebuma kwa mchina yani imemkamata ndo anashusha bei hata 4000 ama 5000 jumla bt ukiona kiatu chinga wa jumla amekataa ujue...
Kwenye hizi meza tupo wajasiriamali tunaouza jumla tu kwa kugawa kuanzia pc 5 nk ama ukitaka caton. Maduka ya jumla yapo ukifika utayaona bt wachina wanauza caton tu, na kuna maua mazuri(viatu) unakuta tumenunua chote kwa mchina hamna. Kwa ushauri anzia kwetu maana tunauza kinacholika sokoni by...
Kwa faida ya wote najihusisha hii biashara kwa jumla, njoo mtaa wa narung'ombe ndipo tulipo. Ukiwa kituo cha mwendokasi ingia mtaa wa narung'ombe hesabu frem za jengo la DDC hadi frem no 42 or 41 kuna nguzo ya zege then tizama upande wa pili kuna nguzo nyingine ya kawaida njoo kwenye hizi meza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.