Niliacha kupanda mwendokasi baada ya kubanwa mbavu, unaminywa maziwa, unakanyagwa, unadhalilishwa unabambiwa, Kuna siku mwendokasi lilizima dereva hakufungua milango, hakusema nini kinaendelea, nikawa natokwa na jasho kama nanyeshewa na mvua. Nikasema hii CCM nikiendelea kuichekea nitakuja...
Hivi mnafurahi wananchi tunavyokaa kituo Cha mwendokasi saa Moja Hadi saa mbili na nusu asubuhi kusubiri basi la mwendokasi. Hii Tanzania ni nchi ya hovyo kabisa . Mradi mdogo hivi unawashinda? Siku tutakamata mfanyakazi wenu mmoja tumpige tumvunje mguu ndipo mtakuwa na akili.
Nilikuwa Nina gego la mwisho linaota huku likisukuma meno mengine. Kwa yale maumivu sikuweza kula Wala kuongea . So ili niweze kula nilikuwa ninakunywa diclopar 2 . So Kwa siku nilikunywa diclopar 2 asubuhi, 2 mchana 2 jioni. Na hata nilipong'oa jino niliendelea kunywa diclopar. Hiyo...
Kuna mwanaume nilishindwa kuwa nae sababu ya mwili mdogo, but nlikuwa nikimuangalia hivi namuona miakili yake mingi inavyomfikisha mbali. Na kweli yuko mbali saivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.