Recent content by berylyn

  1. berylyn

    GE2025 Luhaga Mpina: CCM ina wenyewe na hao wenyewe ndio mliowaona juzi kwenye harambee yao

    Ripoti ya CAG sikuhizi ni kama gazeti la udaku. Ni kusoma na kutupa kule.
  2. berylyn

    KERO Kituo cha Mwendokasi Mbezi Mwisho, leo Agosti 13, 2025 linakuja basi moja kila baada ya zaidi ya saa moja

    Niliacha kupanda mwendokasi baada ya kubanwa mbavu, unaminywa maziwa, unakanyagwa, unadhalilishwa unabambiwa, Kuna siku mwendokasi lilizima dereva hakufungua milango, hakusema nini kinaendelea, nikawa natokwa na jasho kama nanyeshewa na mvua. Nikasema hii CCM nikiendelea kuichekea nitakuja...
  3. berylyn

    Ni sahihi mtu mmoja kula kitimoto nusu kilo peke yake akamaliza?

    Mimi ni ke na kitimoto nusu na ugali pale city pork sishibagi.
  4. berylyn

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Hivi mnafurahi wananchi tunavyokaa kituo Cha mwendokasi saa Moja Hadi saa mbili na nusu asubuhi kusubiri basi la mwendokasi. Hii Tanzania ni nchi ya hovyo kabisa . Mradi mdogo hivi unawashinda? Siku tutakamata mfanyakazi wenu mmoja tumpige tumvunje mguu ndipo mtakuwa na akili.
  5. berylyn

    Uwinga wa Kariakoo: Kazi Inayodharauiwa Lakini Inawalipa Zaidi ya Madaktari(elimu ya uwinga)

    Wewe muanzisha Uzi ndiyo chanzo Cha kufanya TRA waanze kuwachaji kodi mawinga. Lengo la Uzi wako ni kuleta heshima Kwa mawinga? Ama ni nini.
  6. berylyn

    Tuliowahi Kuzidisha DOZI. Tukutane hapa. Tuelezee jinsi ilivyokua

    Nilikuwa Nina gego la mwisho linaota huku likisukuma meno mengine. Kwa yale maumivu sikuweza kula Wala kuongea . So ili niweze kula nilikuwa ninakunywa diclopar 2 . So Kwa siku nilikunywa diclopar 2 asubuhi, 2 mchana 2 jioni. Na hata nilipong'oa jino niliendelea kunywa diclopar. Hiyo...
  7. berylyn

    Taja sababu iliyokuharibia ukashindwa kuwa na mahusiano na mwanamke uliyompenda kwa dhati

    Kuna mwanaume nilishindwa kuwa nae sababu ya mwili mdogo, but nlikuwa nikimuangalia hivi namuona miakili yake mingi inavyomfikisha mbali. Na kweli yuko mbali saivi.
  8. berylyn

    Ipi sifa yako kuu moja inayoelezea personality trait yako?

    Mimi Nina sura ya kutia huruma, naonekana sijiamini. But deep down ni totally opposite.
  9. berylyn

    Hii Hapa Link ya Polepole Conference

    Na wenyewe wana Kila kitu🤣
  10. berylyn

    Uagizaji magari nje ni kufuru

    Nadhani pesa ipo mtaani ni vile haijanipitia Mimi 😜
  11. berylyn

    Msaada wa Saikolojia: Nimetokea kupenda part time love/Uke wenza kuna kama mimi?

    Haichukui nafasi ya daktari, lakini inatoa wazo zuri ya kile unachoweza kukipitia.
  12. berylyn

    Namsihi Humphrey Polepole asitishe press ya tarehe 17, tafadhali sana

    Ulishawahi kuwa na kitu ila roho inashindwa kutulia mpaka ukiseme? Ndo polepole sasa
Back
Top Bottom