Recent content by berno

  1. B

    Ujerumani: Mtanzania afariki kwa kuchomwa sindano ya sumu kwa hiari

    nimejaribu kusearch information kuhusu huyu dada,nimegundua hii ni fake news, nationality ni mkenya na anaishi marekani anaendesha Esendi Backpacks for Kids Organization kama charity organization anakusanya school bags, vitabu, pencils kwa ajili ya kudonate nchi za afrika.
  2. B

    Wakina mama na nguvu ya upinzani

    ukitazama hii picha inatoa tafsiri nyingi juu ya mwalekeo wa upinzani siku za mbele lakini kubwa zaidi muamko mkubwa wa siasa za upinzani kwa kinamama na kupungua muamko kwa kinababa
  3. B

    Serikali imekiri kushuka kwa pato la Taifa

    Serikali imebainisha kuwa pato la taifa kwa nusu ya kwanza ya mwaka 2017 imeshuka na kusababisha taifa kumaliza na wastani wa ukuaji wa uchumi kwa asilimia 6.8 ikilinganishwa na asilimia ukuaji wa asilimia 7.7 mwaka 2016 , Chanzo Azam Tvhttps://www.facebook.com/azamtvtz/videos/969664239866484/
  4. B

    Gharama ya Kuweka Solar VS Umeme wa Tanesco, wataalam mtuchanganulie...

    Kweli kabisa solar back up ni nzuri na kama unataka kutumia solar kama umeme mbadala ya TANESCO ni gharama kubwa sana na baada ya.miwili ama mitatu lazima uingiee gharama kubwa kwenye betri tena
  5. B

    Makonda na Ruge kwa kauli zenu kwenye vyombo vya Habari hamtendei Haki Rais Dr Magufuli

    leadership skill ziro kabisa, anatumia media vibaya, jamaa anavyopenda kuonekana kwenye media nafikiri big brother show ingemfaa, dar es salaam ni ile ile aliyoiacha Meck Sadick hakuna improvement
  6. B

    Nafikiria Kujenga Nyumba Yenye Sketch Hii, Naomba Ushauri Wako

    ni pm nikusaidie kukurebishia kwa bei nafuu
  7. B

    Huwa sielewi Dr. Boaz na diet yake

    kwa maelezo yake hapo chini anashauri kuacha vyakula vya wanga kabisa ili kuweka mwili kwenye afya nzuri mimi sijaelewa unawezaje kukwepa vyakula hivyo haya ndio maelezo yake pia unaweza kumfollow facebook DR. BOAZ MKUMBO Jamaa Yetu Inatakiwa kuelimishwa, Mwili wa binadamu hauhitaji kiwango...
  8. B

    Je, Tanzania zipo Boards za Architecture?

    idea yako nzuri lakini iko kwenye architectural forums nyingi kwa miaka mingi jinsi gani ya kumarket architectural products hasa kwa wanaoanza kupractice
  9. B

    Je, Tanzania zipo Boards za Architecture?

    unachotaka hakuna dunia nzima hata ARB architects registration board UK hawana
Back
Top Bottom