mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Ghalama ya kuweka sola yenye uwezo sawa na umeme wa tanesco ambao haujakatika zina uuwiano gani?
Faida na hasara ni zipi ktika option zote mbili?
wadau karibuni kwa ufafanuzi...
Sio solar tu, hata kama kuna option nyingize ambazo hazina uhusiano na GRID yetu (non-grid electricity)
Faida na hasara ni zipi ktika option zote mbili?
wadau karibuni kwa ufafanuzi...
Sio solar tu, hata kama kuna option nyingize ambazo hazina uhusiano na GRID yetu (non-grid electricity)