Recent content by bepari1

  1. bepari1

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hapana kwenye hili lazima tuseme ukweli. Dar kwa Nairobi bado sana! Nairobi imejengeka vizuri tena kwa mpangilio tofauti na Dar ambako mvua ikinyesha dk kumi mji mzima mnaweza anzisha mabwawa ya samaki! Dar bado ndugu zangu.
  2. bepari1

    Mbatia pole sana, ulikuwa unafukuza mwizi huku umesahau kufunga mlango wako!

    Ukileta uzi na watu wakaonesha kutokuelewa toa ufafanuzi siyo kuanza kukimbizana na mawazo hasi. Umeleta uzi ili tupashane habari. Ulichokiandika unamaanisha nini?!
  3. bepari1

    Career women: Nisaidieni katika hili

    Hivi Simon Sirro ana elimu gani?! Maana naona kama ni aina ya wale wanaotetea nafasi!!
  4. bepari1

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Brother unaongea kitu gani?! Sometimes silence is wisdom. Husiandike vitu husivyovijua na wakati mwingine uliza.
  5. bepari1

    Je, Huu ndio mwisho wa siasa za maigizo toka UKAWA?

    Akili iliyochanganyikana na togwa utaijua, yaani umekokita maneno wee ila unachokiongea hakieleweki!
  6. bepari1

    Yaliyojiri Tunduma: Mikutano ya Kampeni ya Mgombea Urais, Edward Lowassa - Oktoba 17, 2015

    Sasa hii ni taarifa au unajaribu kuweka wazi itikadi yako na chuki yako dhidi ya UKAWA?
  7. bepari1

    James Mbatia unajua leo ni siku ya 8 au umepoteza kumbukumbu?

    Rutashobilwa mbona una mihemuko?? Tulia muda ukifika utaambiwa ni nani mgombea.
  8. bepari1

    Kutoka ukumbi wa BoT Mwanza: Wassira atangaza nia kugombea Urais

    Kusema ukweli huyu wa leo angalau anaonesha kuwa serious na anachokifanya kulinganisha na mbwembwe za jana. Bado sijaona nia thabiti, mipango kabambe ya kutatua matatizo ya watanzania.
  9. bepari1

    Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

    Mkuu Msemakweli mfuko huu unaitwa sovereign development fund na lengo lake ni ku-facilitate all national development projects. Nimekaa hapa huu mwaka wa nne, hawa jamaa wametuacha sehemu kubwa sana. Nina imani hatujachelewa sana tunayo nafasi ya kutengeneza upya nchi yetu ingawa siyo kitu...
  10. bepari1

    Kukimbia kwa Putin, Siri imefichuka

    Habari nyingine bwana, vumbi tupu!! Abott hana uwezo wa kumjabili Putin. Atanyofolewa koromeo.
  11. bepari1

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    Mpaka sasa sijajua muwasho wako unatokana na nini!!
  12. bepari1

    Yaliyojiri Mkutano wa M4C Bukoba

    angalau ukombozi umebisha hodi mkoa huu.
  13. bepari1

    Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

    viongozi wetu ni wagumu kusoma alama za nyakati!!!!
  14. bepari1

    Nini mustakabali wa chadema

    mkuu umefunga watu midomo,shukrani sana kwa ufafanuzi huu muhimu.
Back
Top Bottom