Saudi Arabia nchi takatifu ya dini ya kiislamu leo kuna watu wana chinjwa kama mbuzi kisa wanatuhumiwa kwamba ni magaidi.Pengine shangazi yetu anapenda na nchi yetu iwe na adhabu kama za huko Mecca.
Waheshimiwa wana jf naomba kuelimishwa kuhusu lugha zetu wanadamu hususuni watanzania wenzangu.Hapa nchini tuna makabila zaidi ya 120 na kila kabila wana lugha yao wanayoitumia kwa mawasiliano na shughuli zingine za kila siku.Mfano mikoa ya kusini Mtwara kuna wamakonde,Ruvuma kuna wangoni, Mbeya...
Wewe nakushauri uende USA kuishi huko utapata kazi nzuri inayolingana na kipaji chako na utapata mshahara mzuri,hapa TZ unapoteza muda wako bure.Ukiwa huko tukumbuke sisi watanzania wenzako kwa kuja kututembelea wakati wa likizo,kwani nahisi watakupa uraia kabisa.
Viongozi wengi wa dini wanatishia waumini kwamba wakifa hawatazikwa na viongozi wa dini je hao wanaozikwa na mapadri au maaskofu wana uhakika wote wanaenda peponi.Mimi binafsi nawakubali ndugu zetu waislamu hawana ubaguzi huo yeyote ambaye anaitwa mwislamu wanazika mengine atajua huko aendako na...
Pengine ndugu yetu wakili msomi angetuhabarisha kama tangazo lililobandikwa ndani ya mghahawa anaosema lisemalo''management reserves the right to refuse admission" liko kisheria au la kama jibu ni ndiyo basi awe mpole na kutii agizo.
Mkuu hata mimi nashangaa watangazaji wa redio na tv wakitamka mji mkuu wa uingereza kuwa ni Landani badala ya London au TV yetu ya taifa wanataja tbc wani na si tbc moja kwao one in kiswahili fasaha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.