Vitu vingine vinamajibu rahisi lkn watu wanasumbuka cjui nn.
Ukisema kwa nini Mungu asingeumba ulimwengu usio na dhambi wakti yy ndo anamamlaka yote unakosea.
Ukisoma Yeremia 29:11 mungu anasema mipango yake nikutuwazia mema wakati wote. Mwanzo kabisa Mungu aliumba Ulimwengu ulio perfect usio...
Vitu vingine vinamajibu rahisi lkn watu wanasumbuka cjui nn.
Ukisema kwa nini Mungu asingeumba ulimwengu usio na dhambi wakti yy ndo anamamlaka yote unakosea.
Ukisoma Yeremia 29:11 mungu anasema mipango yake nikutuwazia mema wakati wote. Mwanzo kabisa Mungu aliumba Ulimwengu ulio perfect usio...
Ndugu pole sana kwa kujitaabisha kutengeneza hoja isiyo na maana. Biblia haisomwi kama gazeti kaka. Ulisoma lkn kwa nia yakutetea hoja yako. Ssa shindana na hili andiko.........WAKOLOSAI 1:15-17.........." kwa sababu kwa njia yake vitu vingine vyote viliumbwa mbinguni na duniani, vitu...
Jamni naombeni msaada ya namna yakuroot simu yangu maana nimejaribu njia nying zimegoma.
Simu inanisumbua coz ina internal space ndogo sana. Its android version 2.3.6 Gingerbread.
Nilishajaribu kutumia files za xda developers na kuinstall adb drivers lakn imegoma. Pia nimeshatumia apps kama...
Duh!! Wakt mwingne hata kama ni mjinga nibora unyamaze kuliko kuongea nakudhihirisha kua ww ni mjinga. Kwani angeiuza hata laki nani angemdai?? Ungebaki na ugonjwa wako na yy na dawa yake then nan mbabe? Fikiria chanya ndugu
Nmesukumwa kuandika hii thread baada yakushudia binafsi jinsi kwa kweli dawa hii inafanya kazi.kwa wale wote wanaosumbuliwa.na kifua kama pumu na wanashindwa kuhema au unandugu anashindwa kuhema kabisa basi ninawataarifu juu ya hii dawa.
Binafsi mm mwenyew sina imani sana na dawa za asili ila...
Nmesukumwa kuandika hii thread baada yakushudia binafsi jinsi kwa kweli dawa hii inafanya kazi.kwa wale wote wanaosumbuliwa.na kifua kama pumu na wanashindwa kuhema au unandugu anashindwa kuhema kabisa basi ninawataarifu juu ya hii dawa.
Binafsi mm mwenyew sina imani sana na dawa za asili ila...
Mmarekani hamsaidii muisrael bure kwani multi billionaires wa marekami karibu wote ni waisrael..ukianxa na microsoft, google na wngin wengi.
Mbona nyuma ya iran kuna islamic states, hezbollah, pallestina(hamas) na waarabu wote.
Mtoa mada uko one sided kwa mtazamo wangu. Em ichunguze israel kwa makin alf uongee. These guys have performed the most efficient millitay operations that have revolutionezd millitary technics. Ukianzia na operation opera, operation ochard, operation thunderbolt na nyingn nying. Despite of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.