Umekatisha usingizi Wako kwa Andiko La Kipuuzi Na Hivyo Kama Hili?
Rudi Usingizini Halafu Watu Wengine Ni Wa Hovyo Sana Yaan Kitendo Cha Kumiliki Smartphone Unajiona Unajua Kila Kitu. Shame!
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Mwanangu kama unaona inshu haijakupendeza si upotezee tuu? Mbona kama Roho inakuuma sana?
Mtoto wa Kiume hupaswi kuwa na tabia za hovyo kama hizo...
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Mdawi Ni KIJIJI Kilicho Mkoani Kilimanjaro Wilaya Ya Moshi Vijijini Kata Ya Kimochi.
Ni Kijiji Kongwe Kutokana Na Historia Yake Ambayo Kwa Leo Sitaelezea Historia Hiyo.Ni Kijiji Kinachopakana Na Kijiji Cha Mowo(Kwa Upande Wa Kaskazini);Kijiji Cha Shia(Upande Wa Magharibi);Kijiji Cha Kidia...
K-Vant Sometimes Sio Nzuri Hasa Kwa Vijana Wanaochipukia Na Wenye Miandiko Kama Hii...
Anywayz Haya Ni Mawazo Mawazo....
Comma
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.