Hapana jamaa kuongea pointi kubwa saana na hana maana ya vyuo vikuu vifutwe ila mimi nashauri elimu ya veta ingepelekwa mpaka vyuo vikuu kwa kuwa elimu ya veta ni kubwa kimataifa na utendaji
Huku Iringa kuna gari la matangazo za halmashauri lilikuwa likipita likitoa matanngazo yake but steel bdo walikuwa wakipiga na wimbo wa nyegezi na watu tunainjoy tu na hakuna alie shtakiwa kwa hili
Jamani waungwana naombenie Msaada wenu
Kunatatizo limetokea kwenye facebook account ya rafiki yangu..
Kwasasa rafiki yangu huyu hana simu janja takribani Wiki tatu sasa
But Jana kuna mtu amepost matusi na mambo ya ajabu kwenye ile facebook account... Mpaka saivi nnavoandiki hivi jamaangu huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.