Ney kafanya kisong flan HV amazing haha...
"Kuna viongoz wavuta bang...wapo"
"Maana wana maamuz kiseng*....wapo"
Waliommiss jakaya....wapo"
Waliochoka kuisoma namba...wapo"
Anyway ngoja niendelee kuitazama hii movie ya bashite naona cku hz ni bora ukose kula kuliko kukosa bando kutazama huu mkasa
Baadh ya android zima simu yk then bonyeza kitufe cha kuwasha pa1 na cha kupunguza sauti alaf zitakuja option kibao then tumia kitufe cha kupunguza na kuongeza sauti kama Nd vitufe vya kwenda chini alaf kitufe cha power on%off kama OK shuka chini mpaka uone pameandikwa factory reset then...
Naomben mnisaidie Ku crack online game ili kupata free in app purchases kama gem coin natumia game za clash of clan(COC) ,shadow fight walking dead pamoja na dark sword
Daa!!!!!arsenal mbona mnanitesa nyie mi kabila lang mhehe mjue alaf uyu kocha anayefanana na Mr bean kwan timu yake iyo so aondoke jmn[emoji27] [emoji27]
MTU anaweza kuji unblock km aliblokiwa WhatsApp njia anyoitumia uyo ana delete account yake then ana jisajili upya WhatsApp MTU akidelete account yake INA maana hata wale waliom block akijisajili tena atakuwa na uwezo Wa kukutumia SMS call nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.