Nimeblock Whatsapp ila bado napata SMS zake

Nimeblock Whatsapp ila bado napata SMS zake

Why unahangaika kumblock!? Akituma text usizisome we delete tu moja kwa moja itachukua mda lakini ye mwenyewe atachoka tu..
 
b03c46cfe542610e15df191b51819c3f.jpg


katika pita pita zangu google nkakuta hii kitu...au kafanya hivi???

Futa namba yake kwenye contact za simu yako.
 
MTU anaweza kuji unblock km aliblokiwa WhatsApp njia anyoitumia uyo ana delete account yake then ana jisajili upya WhatsApp MTU akidelete account yake INA maana hata wale waliom block akijisajili tena atakuwa na uwezo Wa kukutumia SMS call nk
 
Njoo pm nikutumie fill app inayokuwezesha kufuta data za simu yake moja kwa moja ikiwemo namba yako ya simu kupitia msg utakayomtumia kupitia app hiyo.
 
Back
Top Bottom