Recent content by Benjamin Juma

  1. Benjamin Juma

    Kama Dunia inazunguka jua kwa Spidi kubwa kwanini vyombo vilivyo nje ya dunia haviachwi?

    Umeuliza swali zuri sana mkuu. Ukweli ni kwamba dunia imetulia katika position yake, jua ndilo huizunguka dunia na kutuletea usiku na mchana. Hii ya kwamba dunia inajizungusha na kulizunguka jua ni uongo.
  2. Benjamin Juma

    Jenerali Mabeyo awasili Njombe kufuatilia mwenendo wa matukio ya utekaji na mauaji ya Watoto

    Naomba tu tukubaliane kutokukubaliana. Mkuu wa majeshi ni mtu mkubwa sana kujishughulisha na mambo kama hayo. Hayo ni majukumu ya IGP Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Benjamin Juma

    Jenerali Mabeyo awasili Njombe kufuatilia mwenendo wa matukio ya utekaji na mauaji ya Watoto

    Kwa ninavyofahamu mimi mambo hayo ni kazi ya jeshi la polisi. Jeshi la wananchi kazi yake ni kulinda mipaka. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Benjamin Juma

    Jenerali Mabeyo awasili Njombe kufuatilia mwenendo wa matukio ya utekaji na mauaji ya Watoto

    Kwa hiyo siku hizi jeshi la wananchi linahusika na ulinzi wa ndani. Tutaona mengi kwenye awamu hii. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Benjamin Juma

    Ushahidi wa Biblia: Majitu (Giants) waliokufa kwenye Gharika, ni uzao wa Wana wa Mungu na siyo wa Waanunnaki (Wanefili). Waanunnaki walijificha wapi?

    Sawa. Nashukuru kwa maswali mazuri yenye kufikirisha. Nitajaribu kujibu kwa kadri ya uelewa wangu. 1. Swali hili lilinisumbua hata mimi. Ninachojua ni kuwa kabla ya gharika wanadamu walikuwa giants na walikuwa wakiishi miaka mingi. Mwanzo 6:1-4 [1]Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi...
  6. Benjamin Juma

    January Makamba,Ponder deep over your fate

    Nchi imekabidhiwa kwa washamba wawili. Wanaweza kufanya lolote na kwa mtu yeyote. Jamaa afanye kujiondokea mapema kabla hawajamzushia mengine.
  7. Benjamin Juma

    Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

    Habari zenu wana jamvi. Mara nyingi nimefuatilia threads zinazomshinikiza Mbowe aachie ngazi. Tena hoja zinazotolewa ni za kitoto tu. Halafu nikifuatilia watoa threads naona ni wa mlengo wa kulia. Swali langu ni je, kama kweli kuachia ngazi kwa Mbowe kutakuwa na faida kwa CDM ni kwanini...
  8. Benjamin Juma

    Ushahidi wa Biblia: Majitu (Giants) waliokufa kwenye Gharika, ni uzao wa Wana wa Mungu na siyo wa Waanunnaki (Wanefili). Waanunnaki walijificha wapi?

    Hicho kitabu cha henoko niliwahi kukisoma. Kuna mambo mengi humo si ya kweli. Hasa kuhusu hilo la uasi wa Semzaba. Kitabu cha pili cha Adamu na Hawa ambacho no masimulizi juu ya maisha ya Adamu na hawa baada ya kufukuzwa bustanini. Kinasema kwamba wana wa Mungu walikuwa uzao wa Sethi ambao...
  9. Benjamin Juma

    Komu ndio nguzo ya CHADEMA hii ya sasa ukiona kafukuzwa ujue CHADEMA imezikwa rasmi

    Huyu jamaa ananishangaza. Kila uzi wake ni kuhusu mbowe. Tuseme kwamba wanaCCM wanaposhinikiza Mbowe ajiuzulu wanaipenda sana CHADEMA? kwanini msiache wanachama wenyewe waseme. Mi naona Mbowe ni mwiba mkubwa kwa CCM ndiyo maana kelele nyingi kutoka huko za kumtaka aachie ngazi. CCM haijawahi...
  10. Benjamin Juma

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Umefanya nicheke japo sio mazuri. Mungu hajawahi kukosea. Akili zake hazichunguziki na pia hekima zako wewe ni upumbavu mbele zake.
  11. Benjamin Juma

    Tatizo la Afrika sio China. Sio Ulaya. Sio Marekani: Tatizo la Afrika ni Waafrika wenyewe - Zitto Kabwe

    Umenena ukweli mtupu mkuu. Tatizo ni sisi wenyewe. Hatuna mipango madhubuti, hatuna dira wala hatuna mikakati. Hata miradi ambayo tumeachiwa tumeshindwa kuiendeleza. Najaribu kufikiria kama si wakoloni hali yetu ingekuwaje? Mara nyingi tunawalaumu wakoloni kwa umasikini wetu, lakini sidhani kama...
  12. Benjamin Juma

    Politics; a game of who wins fisrt

    Power is sweet, it feels good to have power and command other people. I think we all agree with this. The struggles for power have been there since there was a nation. Always people have struggled for supremacy. We read in the Bible and many other books. Always the ruling class treats the...
  13. Benjamin Juma

    Kiwanda cha dawa alichozindua Rais Magufuli kipo tangu mwaka 2014, sio kipya

    huyu jamaa anapenda sifa hadi tumbo linaniuma uwiio_Oo_Oo_Oo_O. yan kiwanda kimeshawekwa jiwe la msingi afu unaenda tena kuzindua, halafu atatwambia kimeanza wakati wa uongozi wake, aise. hebu watanzania tuamkeni, huu ni ujinga.
  14. Benjamin Juma

    Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

    Asante sana mkuu, sasa nimeielewa hii kitu kwa upana wake.
Back
Top Bottom