Wewe kweli kiumbe wa ajabu sana. Unawezaje kuita sehemu yeyote ya Tanzania kuwa sina ndugu pale?? Ni wapi ambapo siruhusiwi kuoa au kuolewa? Huo ubaguzi wako hautakufikisha mbali. CDF ana sehemu gani katika kuchunguza mauaji?? Usimtwishe zigo la wengine. Kama hao wahusika wameshindwa kazi waondoke wawekwe wenye uwezo wawafurumushe hao magaidi watoke pangoni.Angeuwawa mwanao au mdogo wako ungeina umuhimu wa vyombo vya vyetu kufanya kazi ya haraka na kwa ushirikiano
Ila kwa kuwa iringa huna mtoto basi huu unaweza it a ni matumiz mabaya fedha za kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipofika akaambiwa, ni mchezo unaochezwa kifamilia. Phtuuu! Sasa ulinzi wa mipaka yetu umekuwa ulinzi wa familia?? Tutamkamata baba mpumbavu aliyeuza mtoto wake tumkamate kwa kutumia kifaru?? We vip?? CDF hana nafasi kuchunguza familia msimshushe heshima yake