Recent content by BENITOMUSOLIN82

  1. B

    JamiiForums Tanzania Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

    ITAENDELEA LINI MHESHIMIWA, imenikamat akili kabsa hii!! Itaendelea…. usikose sehemu ya tatu THE BOLD - 0718 096 811 (WhatsApp tu...tafadhali usipige)
  2. B

    JamiiForums Tanzania Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    ANGETOA MREJESHO WA HILI JAMBO KWA SASA, ISIJE IKAWA WATU TUNAONA SASA INAWEZEKANA ANAONGEA BARABARANI PEKE YAKE... KUTOKANA NA ZILE ESTIMATIONS= ni jambo la siku nyingi, au hayupo tena jf???
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    MUHESHIMIWA GEBA, inaonekana wewe ni mzoefu.naomba unipe mawazo kuhusu kilimo cha vitunguu swaumu. kwa hapa arusha, kuhusu gharama zake na mavuno katika heakari.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    ok kiongoz nashukuru. hapo inabidi ukilima , lazima usome nyakati ambazo mang'ola wanalima. ili kuweza ku- overtake nao katika soko.ili kabisa kuwa tofauti nao! lakini inaonekana inalipa pia katika hilo eneo kama maji ni mfereji manake ni uhakika w a kupata maji. nitapita huko siku moja
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    mkuu tindo, hapo engosheraton mashamba huwaga bei gani kwa hili zao la vitunguu? na wanalima mwez gani sabab mvua za arusha nazo ni changamoto
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye Usaili NHIF

    hivi kama serikali imesimamisha kuajiri watu kweli,hizi nafasi si ndio zimepepea hivi au sio hivuo wadau wa humu.kama zipo mbona hawamalizii kutua majawabu na kuita watu kweny oral!!
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye Usaili NHIF

    kazi kwelikweli,
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye Usaili NHIF

    possibly,kwasababu hawaweki majina kabsa ni namba tu. tatizo ni liniii??!!!! ukipiga cmu kuuliza ,jamaa anajibu hajui muda
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye Usaili NHIF

    hakuna jipya tena jamanii!!1
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye Usaili NHIF

    lakini tujiulize,walisahau au hizo position husika ndo zilikuwa zinapigwa juu kwa juu
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye Usaili NHIF

    duh,bora hata wewe umefanya hilo.,mi nilitumaga email kabla hawajatoa hizi za juzi.nlikuwa naogopa kutuma tena kuuliza ntaonekana msumbufu wasije wakafuta jina langu kuchujwa mapemaa.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye Usaili NHIF

    mnaikumbuka post yangu hii ya kuhesabu miezi ee,
  13. B

    JamiiForums Tanzania Mbona NHIF mnatoa majina nusu nusu?

    ya compliance hayapo na membership pia hakuna.wametoa vipisi,alaf hujui oral ni lini na yupi aende au asiende
  14. B

    JamiiForums Tanzania NHIF oral interview results tayari?

    asee compliance hata mimi cjaona wadau.cjui ndio bado?? maana hata ile ya kwanza walitoa siku ya pili tofauti na position zingine
  15. B

    JamiiForums Tanzania NHIF kuna nini?

    ni hofu tuu ya watu, nimeuliza nhif nkaambiwa wathiniwa walikuwa wengi sana .mambo bado yanaendelea
Back
Top Bottom