NHIF kuna nini?

NHIF kuna nini?

Wanaweza kutoa majina kwenye gazeti kama ushahidi tu ila watu tushariport mkuu
 
Wanaweza kutoa majina kwenye gazeti kama ushahidi tu ila watu tushariport mkuu
MKUU UNAMAANISHA AU JOKES MAANA NAONA NAJIBANA DAR HAPA KWA WATU KUSUBIRI. NIHAKIKISHE KAMA KWELI NIRUDI TU KWETU MAANA NAKARIBIA KUWA HOUSEBOY WAKATI KWETU KUNA KILA KITU NA HESHIMA NAPEWA KAMA MTOTO WA KIUME
 
Jamaa asikutishe wala nini hakuna aliye kazini so far majina wanatoa mwezi wa 5 kwa ajili ya oral interview na kwa sasa ndo wapo kwenye final ku short list ya oral interview
 
NHIF wana lingine, mtu ame sajiliwa na mfuko huo, makato yana endelea iki maanisha wana taarifa zote kuhusu mwanachama wao cha ajabu ni kwamba,mkali ya uanachama ambayo ndio kitambulisho cha matibabu hawatoi kwa wakati, usipo jitoa muhanga kufuatilia uta zidi kuumia tuu, kwa nini wasiwe wana tutaarifu kwa ,meseji au kupiga simu kabisa kama ilivyo wenye bank?
 
mbona utumishi watu wakifeli hawalalamiki? hoja ni uwazi unaotumika katika mchakato wa kuajili.Mimi sina mda wa kupoteza wa kuomba kazi kwenye mifuko ya kijamii
Tatizo ni mind set umeweka kwamba mifuko ya jamii na mamlaka wanabebana. Mbna mimi nimepata kazi na simjui mtu yeyote
 
Tatizo ni mind set umeweka kwamba mifuko ya jamii na mamlaka wanabebana. Mbna mimi nimepata kazi na simjui mtu yeyote

ni hofu tuu ya watu,
nimeuliza nhif nkaambiwa wathiniwa walikuwa wengi sana .mambo bado yanaendelea
 
Back
Top Bottom