Ahsante kwa ushauli kwa hiyo unamaanisha biashara ya kule ni mwezi wa 5 hadi wa 12 na tofauti na hapo yadi january hadi may ni mwendo wa kilimo tu sio
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko tayari cha msingi tu kuwa na umoja pamoja na uaminifu ktk kazi maana maisha ni kusaidiana maana huenda yeye kuna meng anayajua kuhusiana na biashara iyo uku mm siyajui kwa hiyo maisha ni kuinuana ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wapendwa poleni sana katika harakati za hapa na pale za siku ya leo.
Napenda kufahamu watu wa mkoa wa katavi humu kama wamo ili tujuane maana nilikuwa napendekeza nijue ratiba ya minada ya huko Katavi.
Na kingine ningependa kupata mtu mzoefu na mpambanaji na mwenye kiu ya utafutani au...
Habari wakubwa natumaini wazima nimeleta uzi huu mnisaidie kimawazo.
Mimi ni kijana wa miaka 24 nimejaribu kuishi katika mazingira tofauti katika nchi ya Tanzania katika shughuli mbalimbali za kutafuta maisha lakini bado sijapata mafanikio yeyote.
Kwa hiyo nimekaa na kufikiria nikaona bola...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.