Recent content by benedictycostancia

  1. benedictycostancia

    Wilaya ya Serengeti kufungua hospitali iliyojengwa kwa kushirikiana na wananchi

    sisi tunachangishana afu tunachangia tena kodi Sent from my iPhone using JamiiForums
  2. benedictycostancia

    Maajabu ya Wachina kwenye picha

    uu ni uchawi uu
  3. benedictycostancia

    Ni kweli maendeleo yanaweza kuja bila elimu na teknolojia yetu wenyewe?

    jambo ambalo sja lielewa ni kukazania tanzania ya viwanda na huku tuna elimu mbovu na atuna teknolojia yeyote tunayo weza kuitumia ili tufike kweny ivo viwanda mi nnavyo fahamu tungekuwa na teknolia hii issue ya viwanda tungeweza kufika mbali kwa haraka
  4. benedictycostancia

    Waziri Mahiga kuwajibu Umoja wa Ulaya na Marekani

    real fact kwa kosa ilo angelipa fain au jela sema yeye sio mpnzan ana dunda kama kawa
  5. benedictycostancia

    Meli ya Jeshi la Wananchi kubeba korosho kutoka Mtwara

    vita ya uchumi hai itaji wanajeshi usitulishe matango pori
  6. benedictycostancia

    Niulize swali lolote kuhusu wanawake

    mwanamke anahitaji nini?
  7. benedictycostancia

    Kwa watalaamu wa Geographia tu

    wote mlio jibu mmesoma akuna alie wai ku prove live
  8. benedictycostancia

    Ya Wimbo wa Taifa tumeyasikia , vipi kuhusu bendera ya Taifa ?

    shona waki uliza una waambia model wako lugola
  9. benedictycostancia

    Kutongoza live(macho kwa macho) imekua ni ngumu sana karne ya 20's ni kwanini?

    acha tyu tecnolojia ndio sababu kuu kukua kwa habari na mawasiliano hii ni moja ya hasara zake
  10. benedictycostancia

    Sera ya Ushoga haitekelezeki Tanzania

    mimi ni mwanaharakati muoga ila katika ili suala na muunga mkono JIWE
  11. benedictycostancia

    Ya Wimbo wa Taifa tumeyasikia , vipi kuhusu bendera ya Taifa ?

    mhhh clouds wanapiga nyimbo ya nchi yao wanaipenda na wanaonyesha uzalendo je wakipiga ya uganda au Rwanda utasemaje? fikiria mara2
  12. benedictycostancia

    Ya Wimbo wa Taifa tumeyasikia , vipi kuhusu bendera ya Taifa ?

    nyimbo ni yetu ya taifa letu vp nkitaka kui imba nkaombe kibali kwny nyimbo yetu kwan ni ya wakenya au ni yakukodisha?
Back
Top Bottom