Kuna watu ni bure kabisa kichwani!Hii ni hasara kwa Taifa na hatutoweza kuendelea kwakuwa na watu wenye mawazo mepesi kama haya. Hivi ni kweli wimbo tu ukufanye uhamasike kupata ukimwi.Sisi watanzania tunajiaibisha kwakweli.
Kazi ya kiongozi wa dini ni kuwaongoza waumini wake kimwili na kiroho. Ikiwa uovu unatamalaki miongoni mwa watu tuliowapa dhamana kwa nini wasiseme!Haitokuwa na maana kuhuburi utimamu wa rohoni ilihali uchafu wa waumini wako ni mkubwa.Hao viongoz ni waumini ktk hayo makanisa.Wanapaswa kuwa...
Kumekuwa na shida kubwa ya uhamisho mwaka huu, kwanza majina yanatoka kwa kusuasua na hata yakitoka basi ni machache mno. Na inashangaza kuona hata uhamisho wa kubadilishana nao umekuwa ni tatizo.
Hebu basi mliweke wazi hili suala tujue kama mmesitisha zoezi la uhamisho au la!
Binafsi...
Hapa ishu si kupunguza walimu wa sekondari, bali ni kuajiri wapya sabu kila mwaka idadi ya wanafunzi wanaongezeka kidato cha kwanza. Hivyo itafika kipindi uhaba wa walimu sekondari utakuwa mkubwa kuliko unavyonifikiria
Unapopunguza watu kwenda sehemu nyingne jiulize huko Unakopunguza wanafunzi wanapungua au wanaongezeka. Tiba sahihi ni kuwekeza kwe elimu ili iwe bora na sio short cut
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.