Kama wewe ni mwanafunzi unaekwenda nje kusoma ningependa kujua kama haukupata usumbufu wowote kwenye kutengeneza passport coz wananigomea kwasababu sina admission letter na admission letter inatolewa nikitoa passport # ambayo wananizingua ofisi za migration.
Ukipress exit inagoma au VP .....sjui lkn cm yangu pia ni tecno nili root kuna cku iliisha chaj ikazima ile kuiwasha ikawa inaniletea option za ajab ajab alaf inagoma kufanya chochote hata nikitoa battery ...nilichofanya niliichaj ile battery kwa Kobe ..tatizo likawa solved
Habari wanajamvi nimesoma mchepuo wa EGM eti kwa mm naweza kupokelewa UDSM au ARDHI kwa course yoyote nzur ukiachana na education ..na kama ipo ni ipi ...msaada tafadhali[emoji120] [emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.