Recent content by Ben bizzoh

  1. Ben bizzoh

    Anayekwenda nje ya nchi kusoma msaada tafadhali

    Kama wewe ni mwanafunzi unaekwenda nje kusoma ningependa kujua kama haukupata usumbufu wowote kwenye kutengeneza passport coz wananigomea kwasababu sina admission letter na admission letter inatolewa nikitoa passport # ambayo wananizingua ofisi za migration.
  2. Ben bizzoh

    Msaada mwisho wa kuapply vyuo kupitia TCU

    Eti lini deadline ya kuaply vyuo. Tarehe I mean ni mwez huu au ujao
  3. Ben bizzoh

    Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

    Mi napenda architecture na..surveying nimechek vigezo ninavyo ila sio vya juu so ni bahat nasibu tu
  4. Ben bizzoh

    Msaada wa mawazo yenu

    Ukipress exit inagoma au VP .....sjui lkn cm yangu pia ni tecno nili root kuna cku iliisha chaj ikazima ile kuiwasha ikawa inaniletea option za ajab ajab alaf inagoma kufanya chochote hata nikitoa battery ...nilichofanya niliichaj ile battery kwa Kobe ..tatizo likawa solved
  5. Ben bizzoh

    Wadau msaada tafadhali

    Nimesahau password la laptop yangu eti nifanyaje kui fungua ...msaada plz
  6. Ben bizzoh

    Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

    Nina CED nmesoma EGM ....O LEVEL nina 1.12 ..nataka nikasome ardhi je nitapata? Na course gan nichukue nzur ...msaada tafathali
  7. Ben bizzoh

    Matokeo yangu ni CDE

    Namaanisha course nyingne mkuu apart from education labda za biashara
  8. Ben bizzoh

    Matokeo yangu ni CDE

    Shukran mkuu[emoji120] ngoja nikacheki
  9. Ben bizzoh

    Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

    Nina CED mkuu. Nimesoma EGM .olevo Nina 1 .12 vipi naweza kusomea nn chuo na VP ardhi naweza kupata? Ila education no tafadhali
  10. Ben bizzoh

    Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

    Mkuu mm nina CED ..comb EGM ..Eti nisome kozi gani na ARDHI vp naweza kupata? Msaada jaman
  11. Ben bizzoh

    Matokeo yangu ni CDE

    Habari wanajamvi nimesoma mchepuo wa EGM eti kwa mm naweza kupokelewa UDSM au ARDHI kwa course yoyote nzur ukiachana na education ..na kama ipo ni ipi ...msaada tafadhali[emoji120] [emoji120]
  12. Ben bizzoh

    Computer science kwa hizi grade

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aaah mkuu punguza ukali wa maneno
  13. Ben bizzoh

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Sawa mkuu ila mm nlikua siombi ushauri about ualimu ..siuwez kama umeshindwa basi nashukuru mwenye nia ya kunisaidia atanisaidia
Back
Top Bottom