Recent content by Bellagio

  1. Bellagio

    Kwanini nikinywa pombe hata kidogo Tu kesho yake nashinda mwenye huzuni na kujihisi hatia kama vile nimeuwa mtu?

    Mkuu nahisi umeniongelea Mimi. Mimi mpaka zipite siku tatu ndio nakaa SAWA Yani namaanisha uzuni ndio unaniisha
  2. Bellagio

    Mtu anieleze faida ya kuoa

    Diamond hao wote ulio wataja anao. Swali nilini alioa?
  3. Bellagio

    Mtu anieleze faida ya kuoa

    Muulize diamond anawatoto zaidi ya watatu nilini alioa akikujibu nitagi,
  4. Bellagio

    Mtu anieleze faida ya kuoa

    Wewe ndio ujielewi..Kuna mabiti wamezalishwa wapo kwao na watoto wanajulikana baba zao natena wapo wengi tu huku mtaani.
  5. Bellagio

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Upo sahihi kabisa mkuu naunga hoja mkono.👍👍
  6. Bellagio

    Washa VPN, X naona ina kamzozo

    Au yanga kushinda?
  7. Bellagio

    Washa VPN, X naona ina kamzozo

    Kuna Nini Tena mkuu,
  8. Bellagio

    Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

    Upo sahihi
Back
Top Bottom