Recent content by Beka Mpole

  1. Beka Mpole

    Kwanini Afrika ni Tajiri Waafrika(wengi) ni Masikini?

    KWANI UMASKINI NI NINI? MBONA MAISHA YANAENDA POA TU. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Beka Mpole

    Ange Kagame aolewa

    Umeua mzee baba! Comment flan hivi ya kibabe sana....! Aina noma....! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Beka Mpole

    Ange Kagame aolewa

    Hata mimi nilikua na mtazamo huo. Ila nilipofika Rwanda nikawaona wakawaida sana. Hao watoto wakali wapo Kigali tu na naendeo machache. Lkn ukiingia uswahili hamna kitu. Tofauti na kwetu kuanzia ushuani hadi uswahilini unawakuta watoto wakali. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Beka Mpole

    Quotes/ Nukuu za Kibabe toka Movie za Kibabe.

    Sijaielewa ilivyoishia Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Beka Mpole

    Makabila yanayoongoza kwa uchakarikaji kwenye maisha

    Mmh! Hapana kwakweli! Bora wasambaa, wamesambaa kila sehem kama ilivyo asili ya jina lao. Ila wabondei No! Wakitoka wadigo wanaongoza hao kwa umwinyi na uvivu kwa makabila ya Tanga Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Beka Mpole

    Watu wa dini, batizeni watoto wenu majina yenu ya kiafrika, achaneni na majina ya wazungu na waarabu

    Nimekuelewa. Mwarabu- uarabu Mswahili- uswahili Sawa. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Beka Mpole

    Rais Magufuli na kikokotoo: Bingwa wa kutengeneza matukio na kujitokeza baadaye kama mkombozi

    Kuna ukweli naomba kujuzwa. Nilisikia hili swala lilianzishwa na Kikwete, likapitishwa na bunge ila utekelezaji umefanywa na Magufuli. Baada ya malalamiko ya raia ndio akawaitisha kile kikao cha jana na kuwasikiliza kisha kutoa maamuzi yale. Nakubali kuwa wanasiasa ni mabingwa wa kitengeneza...
  8. Beka Mpole

    Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

    Mkuu naomba inijuze nami kuhusi hiyo kinga unayoitumia kwa mifugo. Nami nina kuku wakienyeji nafuga huko shamba.
  9. Beka Mpole

    Mtoto mzuri Ughaibuni

    Anza kwa kusema "ashakum si matusi" then mwambie yaliyomo moyoni mwako.
  10. Beka Mpole

    Sheria Mpya ya Usalama Barabarani yawataka Madereva wote wa Magari wanaosafirisha abiria Kuva Helment Kama Bodaboda

    Labda uje na link inayoelekeza jambo hilo. Kinyume na hapo ni porojo tu
  11. Beka Mpole

    Nina milioni moja kwa ajili ya Bata.

    Kweli mkuu, Hyatt Regency niliulizia room juz kat ni 360$. Kwa hiyo EMU yake ni usiku mmoja tu, siku ya pili anarudi mkoani. Aifanya masihara atauza simu. So ni bora ajichanganye viwanja vyetu.
Back
Top Bottom