Hata mimi nilikua na mtazamo huo. Ila nilipofika Rwanda nikawaona wakawaida sana. Hao watoto wakali wapo Kigali tu na naendeo machache. Lkn ukiingia uswahili hamna kitu. Tofauti na kwetu kuanzia ushuani hadi uswahilini unawakuta watoto wakali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh! Hapana kwakweli! Bora wasambaa, wamesambaa kila sehem kama ilivyo asili ya jina lao. Ila wabondei No! Wakitoka wadigo wanaongoza hao kwa umwinyi na uvivu kwa makabila ya Tanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ukweli naomba kujuzwa. Nilisikia hili swala lilianzishwa na Kikwete, likapitishwa na bunge ila utekelezaji umefanywa na Magufuli. Baada ya malalamiko ya raia ndio akawaitisha kile kikao cha jana na kuwasikiliza kisha kutoa maamuzi yale.
Nakubali kuwa wanasiasa ni mabingwa wa kitengeneza...
Kweli mkuu, Hyatt Regency niliulizia room juz kat ni 360$. Kwa hiyo EMU yake ni usiku mmoja tu, siku ya pili anarudi mkoani. Aifanya masihara atauza simu. So ni bora ajichanganye viwanja vyetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.