Recent content by Bejojejojo

  1. Bejojejojo

    CCM: Mpuuzeni Butiku! Zuio la CHADEMA kutokufanya siasa linatoka Mahakamani, sio Serikalini

    Serikali ya ccm na mahakama ni kitu kilekile😂
  2. Bejojejojo

    Naomba ushauri juu ya namna nzuri ya kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha tu

    Hiyo quick return si ndo share hapa mkuu au....
  3. Bejojejojo

    Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea

    Mdogo mdogo ...siku all country...ndo watatorokea nje
  4. Bejojejojo

    Liberia: Rais amsimamisha kazi Gavana wa Benki Kuu kwa kukataa kutoa taarifa kwa Tume ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali (GAC), Azuia malipo yake yote

    Bongo sasa,wanachota tu ...na mkibaini ndo inajsafisha kuwa eeti walikopa....🤣🤣🤣🤣
  5. Bejojejojo

    CAG Mstaafu, Utouh: Kilichotokea Kenya kinaonesha kunahitajika Uwajibikaji katika fedha za Serikali

    Nafikiri Tz viongozi wengi wa kisiasa hqta zungumza yao hawaheshimu hili hata kidogo but as time goes on....ya Kenya yataambukiza Tz na from there inaweza ikawa ngumu sana kuitawala hii nchi kwa utulivu....wabadilike mapema
  6. Bejojejojo

    DOKEZO Responded Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani

    Duuuh....hivi kweli ni lazimq janja janja ndo mtu atoboe???....really???..sio kweli
  7. Bejojejojo

    DOKEZO Responded Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani

    Almost sehemu nyingi sana wanaiba aisee.....kuna haja wataalam wa vipimo wafanye suprise inspection na wawapige faini za kutosha
  8. Bejojejojo

    Mjue Cuckoo, ndege mkwepa majukumu ya ulezi, ndege mwenye roho mbaya

    Aisee hii ni kali....kumbe kuna parasite mpka ndege,......Mungu ana maajabu sana aisee....hii dunia bado yapo mengi sana ambayo hayajulikaniki
  9. Bejojejojo

    Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    Mwanamke anaweza akawa na mahusiano na Me mwingine endapo... 1.HAKUPENDI. 2.HAPATI HUDUMA TOSHELEVU FROM YOU(Mostly sexual intercourse). 3.ANA TAMAA (Material things or yuko demonized)
  10. Bejojejojo

    Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    Kiujumla mwanamke wako akiwa na mawasiliano ya kimapenzi na wanaume wengine, hii huitwa "cheating" one day hao ME watakuwa your replacement....so the best decision to take ni kuachana naye.....By the way hakuna namna Ke atajihusisha kimapenzi na Me wengine kama ANAKUPENDA....
  11. Bejojejojo

    Nataka kujilipua na Volvo XC 90. Ushauri wenu wadau

    Nashukuru mkuu...nilipata nyingine pia ipo opposite na mataa ya ITV.....Kama uanatokea bamaga ni upande wa kushoto,wanapaita kwa BIG....au kwa engneer.
Back
Top Bottom