nawasalimu wrote.
nipo naishi Morogoro mjini na nimepata mtaji kidogo wa mil 2 hivi, wazo langu nije dar kuanza biashara au ujasiriamali.
kinachonisumbua ni kua, mimi sio mzoefu na jilo jiji licha ya kua hua naingia na kutoka na dar ninayoifahamu mimi ni ya miaka minne iliyopita.
binafsi...
nimefanya kazi hapo Simanjiro ukanda huo wa mererani ila nilikua disappointed sn Kwa wakuu wa shule. wana mambo ya kishenzi na wanalindwa na DEO wa sec hapo wilayani
suala la kuinuka Kwa elimu ktk wilaya hiyo msubiri Yesu arudi, nilifanya maongezi na huyo Kimweri ikaonesha kanielewa ila...
wadau habari zenu,
Naomba kufahamu taasisi,jumuiya au wataalamu fulani wanaotoa semina ya Ujasiriamali. Nina Mwaka mmoja sasa tokea nianze biashara yangu ya duka la rejareja hapa morogoro mjini, nna shauku ya kupata msukumo wa fikra na mawazo mengine ili nifanye vizuri zaidi na niwekeze...
Nimefatilia mkopo wa wafanyakazi NMB Morogoro na kukamilisha masharti, cha kushangaza ni zaidi ya wiki moja imepita hawajanipa pesa. Sababu wanayoitoa ni eti mtandao unasumbua nchi nzima, how comes mtandao usumbue nchi nzima na hakuna wayout wanayoifanya / kuwaeleza wateja?
Suala hili...
Nimefatilia mkopo wa wafanyakazi NMB Morogoro na kukamilisha masharti, cha kushangaza ni zaidi ya wiki moja imepita hajanipa pesa, sababu wanayoitoa ni eti mtandao unasumbua nchi nzima, how comes mtandao usumbue nchi nzima na hakuna way out wanayoifanya / kuwaeleza wateja.
Suala hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.