Recent content by begi la pesa

  1. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Je unawajua choosen one na maajabu yao katika dunia

    Asante sana
  2. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Huduma za kutengeneza website kwa uharaka – siku 3 tu!

    nakutengeneza app bei gani?
  3. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Je unawajua choosen one na maajabu yao katika dunia

    ipo siku mambo yatakuwa sawa mkuu
  4. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Je unawajua choosen one na maajabu yao katika dunia

    Asante sana Mungu kwakuniumba choosen one maana naona kile ambacho wengine hawaoni kupitia darasa la maisha ninalopitia nazidi kujifunza mengi mpaka naonekana ni waajabu
  5. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Voyager 1 chombo cha ajabu kinachonitisha kichwa. Aisee! hii itakushangaza

    sema waafrika tumebarikiwa maana aliyekuwa komputer ya kibinamu mpaka mladi wa nasa kukamilika alikuwa mwenye asili ya afrika tena mwanamke nimemusahau jina
  6. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo sababu za kutopokea simu za baba yangu mzazi

    dah inasikitisha sana mkuu pole sana,hizo ndoto zinatokana na mawazo uliyonayo mfesi tu mzee wako umwambie hali halisi maana kwamawazo yake anaendelea kuona baada ya wewe kufanikiwa umeungana na mama yako mmemtenga
  7. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Magodoro bora na yanayodumu: Ushauri Kati ya QFL, COMFY, VITARAHA, TANFOM, SPRING n.k

    Vipi kuhusu magodoro ya Dodoma asilia
  8. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Nyi vilaza mnajua maana ya jinius kweli!? Jinias ni mtu anayefikiria nje ya box(mfumo) ni mtu wakuona ambapo wengine hawaoni anaweza kitatumatizo magumu kirahisi tu ambayo yamewashinda wengine,,hao mnaowasema ninyi ni mabingwa wa kukalili tu,,natolea mfano wa simu simu Ina ram gb 1 afu memory...
  9. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

    **** kweli huyo
  10. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Tanzania yapanga kuuza sehemu ya Hazina yake ya Dhahabu kusaidia kufadhili miradi ya miundombinu

    Mafisafi yanataka yajilipe nssf mapema
  11. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mkoa Wa Mtwara hawalimi Vitunguu na Maharage?

    Okay Asante
  12. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mkoa Wa Mtwara hawalimi Vitunguu na Maharage?

    Vipi maundo maji ni shida!?
  13. begi la pesa

    JamiiForums Tanzania Nasikia watu wa Mtwara ni wachawi sana,tafadhali msaada

    Sasa dangote si freemason unaweza loga freemason
Back
Top Bottom