Asante sana Mungu kwakuniumba choosen one maana naona kile ambacho wengine hawaoni kupitia darasa la maisha ninalopitia nazidi kujifunza mengi mpaka naonekana ni waajabu
sema waafrika tumebarikiwa maana aliyekuwa komputer ya kibinamu mpaka mladi wa nasa kukamilika alikuwa mwenye asili ya afrika tena mwanamke nimemusahau jina
dah inasikitisha sana mkuu pole sana,hizo ndoto zinatokana na mawazo uliyonayo mfesi tu mzee wako umwambie hali halisi maana kwamawazo yake anaendelea kuona baada ya wewe kufanikiwa umeungana na mama yako mmemtenga
Nyi vilaza mnajua maana ya jinius kweli!? Jinias ni mtu anayefikiria nje ya box(mfumo) ni mtu wakuona ambapo wengine hawaoni anaweza kitatumatizo magumu kirahisi tu ambayo yamewashinda wengine,,hao mnaowasema ninyi ni mabingwa wa kukalili tu,,natolea mfano wa simu simu Ina ram gb 1 afu memory...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.