Atauzuiyaje ushoga wakati nyi ndo viwanda vya kuzalisha mashoga!? Ukitaka uue ushoga ua wafiraji wote jamii itakuwa salama maana huwezi kuwa shoga bila kuingiliwa sasa nyinyi ndo wafiraji wakubwa wa watoto wa ndugu zenu ,marafiki zenu wake zenu sasa gwanima anahusika Nini nyi wapumbafu...
Baada ya kuingia ai Haina haja ya mtu kununua simu za gharama sababu ya picha maana kwA Hali ya sasa uwe na na Samsung, iphone itel ubora wa picha ni uleule
Asante sana Mungu kwakuniumba choosen one maana naona kile ambacho wengine hawaoni kupitia darasa la maisha ninalopitia nazidi kujifunza mengi mpaka naonekana ni waajabu
sema waafrika tumebarikiwa maana aliyekuwa komputer ya kibinamu mpaka mladi wa nasa kukamilika alikuwa mwenye asili ya afrika tena mwanamke nimemusahau jina
dah inasikitisha sana mkuu pole sana,hizo ndoto zinatokana na mawazo uliyonayo mfesi tu mzee wako umwambie hali halisi maana kwamawazo yake anaendelea kuona baada ya wewe kufanikiwa umeungana na mama yako mmemtenga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.