Kweli hapa inatuonyesha kuwa Diamond aidha kuna watu wanampa mapromo au yy misifa mingi mbona jide kimya au hajutegemea kama atashinda hizo ni sawa na tuzo za shigongo au kwakuwa zimefanyika Marekani mimi ningefurahi sana kama angeshinda Bet au Mtv ingekuwa powa apunguze sifa msanii wetu kama...
Wadau naomba maoni yenu kumekuwa na ubishani mkubwa siku za hivi karibuni juu ya nani mkali wa bongo flava kati ya wasanii wetu hawa wawili huku zikiwa zimebaki siku chache Ally kiba atoe single yake mpya inayoitwa Dar es Salaam
Hahaha njoo maeneo ya Matemwe uone waunguja wanavyolima mahindi twende Donge ukale mihogo na masheli sheli wilaya ya kati Dunga ndo mpango mzima kila kitu unapata eti waunguja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.