Pole sana ndugu yangu,hawa jamaa wanakera sana. Mie moja ya sifa ya kiwanja cha kujenga ni kutokuwa karibu na makanisa au misikiti. Huwa sipendi kelele kabisaa nikipumzika
Wadau habari ya mapambano,naomba kujua hali ya corona ipo vp hapo mitaa yenu, home kwangu familia nzima imepigwa na mafua makali sana.
Na kwa upande wa wife dalili ndo kama zile za awamu ilee yaani mafua seriou, homa na maumivu ya mwili.
Naomba kuwasilish
Nafuu wewe una hata rafiki,mie sijawahi kuwa nae hata mmoja na sidhani kama naweza pata rafiki kwani naamini binadamu sio wakamilifu na hivyo nikijenga imani kwa mtu kama rafiki najua IPO siku ataniboa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.