Hiyo ni thamani ya kampuni (market capitalization) sio net worth. Market capitalization ya kampuni ni jumla ya thamani ya hisa zote za hiyo kampuni. Kwa kifupi hayo ni mahesabu ya kwenye makaratasi tu. Thamani ya hisa hupanda na kushuka kutokana na perfomance ya kibiashara ya kampuni husika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.