Recent content by beefinjector

  1. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Jay-Z aachia freestyle yenye onyo kwa Drake na Nicki Minaj, 🔥.

    Jaguar ana matatizo ya akili. By the way naye kachanwa vile vile... " Questlove introduced me to Jaguar, I don't know why I still f@$k with him"
  2. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi sijui Hesabu au Mabeberu Wana Hela? Apple Pekee ina Thamani Sawa na Bajeti ya Tanzania ya Miaka 200?

    Hiyo ni thamani ya kampuni (market capitalization) sio net worth. Market capitalization ya kampuni ni jumla ya thamani ya hisa zote za hiyo kampuni. Kwa kifupi hayo ni mahesabu ya kwenye makaratasi tu. Thamani ya hisa hupanda na kushuka kutokana na perfomance ya kibiashara ya kampuni husika...
  3. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na ukimya wa viongozi wa kijamii: Je, Tanzania inaingizwa kwenye mtego wa machafuko ya kisasa? Kina Pasco Mayalla wako wapi?

    Mkuu unaishi dunia ipi? Au ulikuwa kwenye coma ndio umeamka?
  4. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Kuna mchezaji ana bahati mbaya kama Michael Ballack?

    Uzi wako hauna maana. Utasemaje ana mkosi wakati kuna mataji amechukua?
  5. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Halima Nyakanga afungiwa na BASATA kwa miaka 3 na faini ya Tsh milioni 3

    Makende yamemponza.
  6. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Simba inajitahidi kuipandisha ligi ya Tanzania, Yanga inajitahidi kuishusha

    Mkuu kunywa maji ya baridi, mwili usije ukalipuka. Pia tafuta shughuli ya kufanya, Simba na Yanga zimekufanya uwe mwehu.
  7. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Kusuka nywele na kuvaa hereni. Je, ni utamaduni wa hiphop?

    Mbona wanaume wa kimasai wanasuka nywele na hamjawahi kuwasema?
  8. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Wakanisa Mtaficha Wapi Hizi Aibu Duniani

    Kajifunze kwanza kuandika, hueleweki.
  9. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Redio One mmetukera wasikulizaji wenu kwa kutopiga wimbo wa Remmy Ongala, 'wema ni qumanyoko' kwenye kipindi chenu cha nani zaidi.

    Hiki kipindi bado kipo mpaka leo? Kweli Radio One wameishiwa ubunifu.
  10. beefinjector

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Orodha ya vitu kadhaa ambavyo Wewe Mwanaume Mkeo hapaswi kujua kabisa kuhusu Wewe

    Ha ha haaa! Well, looks like your mama brought you here through her shithole. That's why you have a turd for brain.
  11. beefinjector

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Orodha ya vitu kadhaa ambavyo Wewe Mwanaume Mkeo hapaswi kujua kabisa kuhusu Wewe

    Andika kiswahili Mkuu. Kiingereza hukiwezi.
  12. beefinjector

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ulinzi wa Rais Samia ni wa Kikomandoo na haujawahi kutokea barani Afrika. Hata sisiminzi hawezi kukatisha

    Kwa nini Rais alindwe namna hiyo kwenye nchi ambayo mnatuaminisha kwamba ni ya amani?
Back
Top Bottom