Recent content by beefinjector

  1. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Sugu ukikubali kudhulumiwa haki ya ubunifu wa wazo lako kimuziki safari hii nitakushangaa sana. Bado nasubiri response yako kuhusu hili tamasha.

    Acha upotoshaji, idea ipi ya Sugu iliyoibwa? Huwezi kuzuia wengine kufanya entertainment show eti kwa sababu wewe una show yako tayari. Kwamba show zote zinahusisha wasanii wakongwe wa bongo flavour haimaanishi kuna mtu kaiba idea na hakuna ground za kisheria kuzuia hilo. Hata mfano ulioutoa wa...
  2. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Ngwair aliimba "She got a Gwan" hivi Gwan ni nini?

    Hiyo ni Jamaican patois. Kiingereza halisi ina maana "she got it going on"
  3. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Floyd Mayweather, kutoka utajiri wa $ 1.2 Billion (Tshs Trilioni 3) mpaka kuwa somo la umuhimu wa nidhamu ya fedha. Madeni na kesi vyamwandama

    Mkuu, maamuzi mabaya hayana rangi. Kuna mastar weusi wengi sana ambao wana wasimamizi wa fedha wazungu na wako njema. Mfano Jay Z, Michael Jordan n.k
  4. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Jay Z ni kama nyoka kwenye Hiphop: Njia yake ya kupanda ilikuwa ni kukanyaga na kuzima wengine. Watu wa juzi hawawezi kujua true colours za J

    Dame Dash was toxic. Alikuwa ana kiburi na anagombana na kila mtu, Jay akaona atamharibia mambo yake. Mpaka leo hakuna mtu anataka kukaa karibu na Dame. Hayo mengine ni speculations na opinions.
  5. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Rekodi za Kombe la Dunia zinaonekana kuwa ngumu sana kuvunjwa zama hizi

    Mkuu umesahau Brazil alipigwa 7, tena kwao.
  6. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Kikosi bora cha Brazil cha muda wote hiki hapa

    Muda wote hapana. Brazil ya 1970 na ya 1982 ilikuwa bora zaidi ya hiyo.
  7. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Jay-Z aachia freestyle yenye onyo kwa Drake na Nicki Minaj, 🔥.

    Jaguar ana matatizo ya akili. By the way naye kachanwa vile vile... " Questlove introduced me to Jaguar, I don't know why I still f@$k with him"
  8. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi sijui Hesabu au Mabeberu Wana Hela? Apple Pekee ina Thamani Sawa na Bajeti ya Tanzania ya Miaka 200?

    Hiyo ni thamani ya kampuni (market capitalization) sio net worth. Market capitalization ya kampuni ni jumla ya thamani ya hisa zote za hiyo kampuni. Kwa kifupi hayo ni mahesabu ya kwenye makaratasi tu. Thamani ya hisa hupanda na kushuka kutokana na perfomance ya kibiashara ya kampuni husika...
  9. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na ukimya wa viongozi wa kijamii: Je, Tanzania inaingizwa kwenye mtego wa machafuko ya kisasa? Kina Pasco Mayalla wako wapi?

    Mkuu unaishi dunia ipi? Au ulikuwa kwenye coma ndio umeamka?
Back
Top Bottom