Recent content by beefinjector

  1. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Season kali za kuangalia Mwaka huu.

    Series sio season.
  2. beefinjector

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Kwani mavazi nadhifu ni suti tu? Huwezi kuvaa suluari na shati za kawaida na ukaonekana nadhifu?
  3. beefinjector

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Kama aliweza kununua hizo alizovaa basi ana uwezo wa kununua nguo decent kwa ajili ya usaili. Kama alikwama basi hata angeazima.
  4. beefinjector

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Unaenda kwenye usaili umevaa tshirt na jeans halafu unategemea nini?
  5. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Neo Maema akaribia kurejea Simba SC kwa mkopo kutoka Mamelodi Sundowns

    Unaishi dunia hii hii?
  6. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Sugu ukikubali kudhulumiwa haki ya ubunifu wa wazo lako kimuziki safari hii nitakushangaa sana. Bado nasubiri response yako kuhusu hili tamasha.

    Acha upotoshaji, idea ipi ya Sugu iliyoibwa? Huwezi kuzuia wengine kufanya entertainment show eti kwa sababu wewe una show yako tayari. Kwamba show zote zinahusisha wasanii wakongwe wa bongo flavour haimaanishi kuna mtu kaiba idea na hakuna ground za kisheria kuzuia hilo. Hata mfano ulioutoa wa...
  7. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Ngwair aliimba "She got a Gwan" hivi Gwan ni nini?

    Hiyo ni Jamaican patois. Kiingereza halisi ina maana "she got it going on"
  8. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Floyd Mayweather, kutoka utajiri wa $ 1.2 Billion (Tshs Trilioni 3) mpaka kuwa somo la umuhimu wa nidhamu ya fedha. Madeni na kesi vyamwandama

    Mkuu, maamuzi mabaya hayana rangi. Kuna mastar weusi wengi sana ambao wana wasimamizi wa fedha wazungu na wako njema. Mfano Jay Z, Michael Jordan n.k
  9. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Jay Z ni kama nyoka kwenye Hiphop: Njia yake ya kupanda ilikuwa ni kukanyaga na kuzima wengine. Watu wa juzi hawawezi kujua true colours za J

    Dame Dash was toxic. Alikuwa ana kiburi na anagombana na kila mtu, Jay akaona atamharibia mambo yake. Mpaka leo hakuna mtu anataka kukaa karibu na Dame. Hayo mengine ni speculations na opinions.
  10. beefinjector

    JamiiForums Tanzania Rekodi za Kombe la Dunia zinaonekana kuwa ngumu sana kuvunjwa zama hizi

    Mkuu umesahau Brazil alipigwa 7, tena kwao.
Back
Top Bottom