Recent content by BEDUI116

  1. B

    JamiiForums Tanzania UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

    britanicca, Utafiti MURUA kabisa huu lakini mbona hizo % zinavuka 100%?
  2. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tuliowahi kula mtungo na wanawake mliowahi liwa mtungo tupeane uzoefu

    Halafu tena eti wanakunywa castle light 1990's
  3. B

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Dtk. Kihaule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NIDA

    mkuu kwani unaijuwa CV ya huyo mteule? au kisa katoka ARU ndo unakuwa n mashaka naye?
  4. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ungekuwa wewe ungefanya nini Kwa wadada hawa kweny daladala?

    mkuu hyo route ya mabibo-karume-vingunguti-tabata imeanza lini?
  5. B

    JamiiForums Tanzania TCU AU CHUO

    Nadhani utaratibu ni kuwasili chuo husika ulichochaguliwa baada ya hapo anza kufuatilia utaratibu wa kuhama hyo program kwenda program unayoihitaji.
  6. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single mothers wanavyokera na picha za watoto wao mitandaoni

    Kama kuna ka-ukweli vile
  7. B

    JamiiForums Tanzania DAR: Mahakama Kuu yatupilia mbali maombi ya wabunge Viti Maalum 8 wa CUF

    Sio tu mshahara wa burebure.....hatari ni yale madeni ya milioni kadhaa walizokwishakopa
  8. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naishi na mwenzangu somehow mchafu. Harufu harufu mimi sipendi

    Mara nyingi mwanamke kutoa harufu kama ni msafi basi husababishwa na FUNGI.....jaribu kumpeleka hospital na uendelee kumuelimisha umuhimu wa usafi
Back
Top Bottom