Yaan mtaji wa milion 3 kwa mwezi unapata faida laki mbili. Hiyo sio biashara broo. Unatumia pesa yako kuwaajiria wengine. Sifanyi biashara kichaa kama hiyo. Si bora ninunue ubber
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa vyovyote utakuwa msukuma. SASA unataka kulipandisha kabila lako lionekane lipo juu. ULICHOKIONGELEA hata sjakielewa eti mkoa biashara hamna kabisa zimedorora. HAPO hapo unasema hakuna wahaya wenye maduka et maduka wanayo wasukuma na muha. MBONA huo mfano hujautoa dar es salaam na wakat...
Wakupime mkojo wewe sio bure. Watu wanatafuta hata hiyo kazi wafanye hata waambiwe wafanye kazi wamewabeba mabos wao migongoni lakin hawaipati. Et wewe huitaki kazi kisa huna peace ov mind. Nikushauri sasa. Hiyo kazi kwanza iache ndo uanze kutafuta nyengine
Duh! Toka mwaka uanze post ya kijinga nloiona hiiii! Sasa kama hujui shughuli za kiuchumi ndo sehem ambayo watu wanakwamuana bure kabisa, anaweza nikopa elimu nkaja kumrudishia badae nkishaanza biashara,
Sawa upo sahihi, ila kiukweli forex nibkitu kipya bongo, na maisha ya sasa yamekuwa magum, sasa vijana wenzetu mnaingiza faida kubwa kias hicho kwa nn mtucharg pesa kubwa ya training. Mgesema hata ef 50 jaman, sio laki mbili mtatuua.
Pale ada kubw bab, 200k usawa huu unaipata wap aisee, mie nmejaribu kusoma soma vitabu kias fulani nna mwanga, nielekeze ulipo nije unipe kidogo ya face to face
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.