Tulibhalega
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 461
- 350
Clouds inapatikana maeneo machache ukilinganisha na redio nyingine kadhaa, clouds imejikita kwenye kuwateka vijana kama chombo cha burudani badala ya kuteka tasnia ya habar kama chombo cha habar ambalo ndilo lengo kuu la chombo chochote cha habar, mleta mada inaonekana una mahaba na clouds na sio analysis ya performance ya radio stations hapa nchini, hii inadhihirika kwenye maelezo yako, na kwa sababu hii pekee ya mleta mada kuwa na mahaba na clouds, mada yako ni feki na ujifunze kuleta mada kwa kutumia vigezo sio mahaba, nilitegemea uweke comparison ya stations mbalimbali, kwa ufupi "none sence"