we kaka hivi una moyo wewe? Yani miaka yote minne hamna ki2? Afu unafikiri kwamba wewe ndo umekamilika au? Huyo dada amekuvumilia kwa mangap? Au unahisi kwamba ALIBAHATIKA SANA KUA NA WEWE? Kwakweli wewe ni mharibifu na unastahili kupata pigo la maana, na dunia ikufunze kwamba hata wewe una...
mimi nachukia pale mtu anapokosea, na ANAJUA anamakosa alafu ANAPOTEZEA,, na anaexpect kila kitu kiendelee kama kawaida..
Ya kwangu:
nitamchunia hasa, mpaka atakapojielewa na kuomba msamaha, then kila kitu kitaendelea kama kawaida
Natafuta nyumba yenye vyumba vitatu, atleast kimoja kiwe master, iwe katika hali nzuri, umeme na maji, iwe na nafasi ya kupaki magari mawili, na fence, iwe maeneo ya kinondoni, survey, au kijitonyama, sihitaji dalali,
budget 350,000 ..
Jitahidi kupunguza. Huo mzgo unachosha kwakweli, ndo maana mwenzio anapungua!!! Sio vzur wewe uendelee kunenepa af mwenzio akondeee. Utakuja kuua. Fanya kwa afya, mke ni wako, hauko kwenye mashindano.
Nauza nokia X2. Kwa yeyote anayehitaji ani pm. Simu imetumika mwez mmoja tu. Bado ina guarantee ya mwaka vile vile, iko na protection cover mbili black na blue, unapata charger na earphones, vyote ndani ya boxi..
Bei 160,000/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.