Mi watu wamagazeti nawakalisha tu kila siku nina bettle langu oldmodel made by hitler mbona vumbi tu full turbo kama unataka ligi nichek dar mbeya hata uwe range unakaa
Nikiwa kama mjumbe mwaminiwa nimesikitika sana kitendo cha mwenyekiti PIERRE kuitwa wa hovyo hovyo. Sisi ni moja kati ya watu tunaochangia pato la nchi. Wanywaji na walevi si watu wa hovyo ni watu wakuheshimiwa. Sema neno kwa pierre.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.