Swali nzuri sana. Kuhusu kutumia matokeo ya kidato cha nne si tu mzunguko utakuwa mrefu bali gharama itakuwa kubwa zaidi, na pia nitahitajika kusoma Full time kitu ambacho kitakuwa kigumu kwangu kwa wakati huu. Hii itakuwa tofauti na nikitumia matokeo ya ACSEE.
Natumaini kila mmoja wetu hapa yupo na siku nzuri kabisa;
Nimekuja kwenu asubuhi hii ili kuomba ushauri wa mambo ya kielimu; hasa kurudia mtihani wa kidato cha sita. Kitaaluma mimi ni mwalimu wa ngazi ya cheti, pia nilisoma kidato cha sita mwaka 2014 mchepuo wa PCM. Sikufanya vema...
Nafahamu huu ni uzi wa muda mrefu, lakini si vibaya kuuliza; vipi mkuu ulifanikiwa kufanya mtihani?, kituo kipi ulisomea kabla ya mtihani?. Mimi nipo Dar na nahitaji kurudia mtihani kwa masomo mawili pekee yaani Chemistry na Mathematics.
Habari za muda huu ndugu wana jukwaa.
Niende moja kwa moja kwenye mada; nilihitimu kidato cha sita mwaka 2014 mchepuo wa PCM na kupata alama zifuatazo;
Physics- D
Chemistry- E
Advanced Mathematics-E
General Studies- D ( japo haina maana).
Baada ya matokeo hayo yasiyoridhisha nikajikatia tamaa...
Nunua stock ya chakula cha kula ndani ya wiki mbili inayolingana na robo ya mshahara wako, hakikisha pesa huitoi yote benki. Ukinunua stock ya aina hiyo mara mbili ili kukamilisha wiki nne, utakuwa umetumia nusu ya mshahara wako. Matumizi ya kawaida weka 150,000. Mwisho wa mwezi unaweza ku- save...
Sasa mimi nifanye nini na muamala umezuiwa mara tatu na mizimu ya mababu?, halafu nimeenda kuombewa pepo la kukopa linitoke😛, hivyo sina mpango wa kwenda benki yoyote. Nitajiwekea kibubu😆
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.