Habari wadau,mimi ni binti wa mwaka wa pili wa degree ya udaktari.Kipindi chote cha masomo wakati nipo mwaka wa kwanza nilikuwa na hili swali Ila nimekosa jibu lake nikaona vyema nije kuuliza kwa yeyote mwenye kujua anipe muongozo.
Hivi ni short courses gani naweza fanya hata kwa muda wangu wa...
Habari zenu wadau, bodi ya mikopo imesema wamefungua dirisha la marekebisho na kuanzia leo unaweza ku upload nyaraka ambazo ulishindwa ku upload kipindi kile.Ila kwenye account nikilog in nakuta habari hii.Mwenye kujua nawezaje kurekebisha naomba anisaidie.
Samahani wadau,hivi kwa mtu ambae cheti chake kilichelewa kuwa certified na RITA na hakuweza kuendelea na corrections na dirisha likafungwa,Ina maana hawezi tena hata kuappeal au inakuwaje.Kwa mwenye kujua naomba anieleweshe.
Hiyo ni kawaida yao kwa miaka mitatu iliyopita na huwa ina cost sana wanafunzi.Hata sisi wakati tumemaliza mwaka wa pili tunasubiri matokeo ya mwaka huo tulilazimika kufungua chuo na kuanza masomo ya mwaka wa tatu ili hali matokeo ya mwaka wa pili hatuna.
Yaliletwa baadae na kuletea watu...
Chief kupeleka mtoto wa mwaka wa kwanza mtaani tena haswa anaetoka form 4 au 6 ni jaribu kubwa.Naamini hawezi kushindwa kukaa na wenzie watatu kwenye chumba kama ni mTanzania mwenzetu, aende azoee mazingira kama kupanga anaweza kupanga 2nd semester.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.