Yaani kwakweli kuolewa na mtu uliyemzidi Elimu ni natizo sana , actually mimi sijasoma sana nina ka degree kamoja though am planning for my masters , mume wangu ni form six ,lakini utakuta mpo kwenye maongezi ya kawaida utasikia unaambiwa yaani wewe Elimu yako haijakusaidia , oooh hajausomeje...