Nilichogundua wewe ni mtu ambae unaelewa maana ya ustaarabu na jinsi ya kuishi katika mazingira. Lakini ukweli mchungu ni kuwa upo katika kundi la kiswahili ambalo sio level zako.
(Kiuhalisia imefika mahali Sasa ,nataka kwenda kumloga huyo basi wangu mana naona chuki zimezidi kupita kiasi) Sasa hii ndio ilikuwa point yako ila sehemu nyingine ulikuwa unatafuta uhalali tu.
Nilitaka kucomment kabla ya kusoma ila baada ya kusoma nimepata wazo zuri. Kiukweli awa wababa wa kiroho sio poa sasa hivi na wanawake wanavyomezeshwa ndivyo wanavyokula, ni muhimu sana kuwa na msimamo wa kiimani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.