Recent content by be unique

  1. be unique

    Nimehitimu Masters ya Usimamizi na Utawala, natafuta kazi

    Sijasoma sana ila namshukuru Mungu nina kibarua....nazidi kuwa mzito wa kufikiria kuongeza elimu kama mtu mwenye masters analalamika ajira
  2. be unique

    Unajua athari na jinsi ya kujiepusha na matumizi ya Bangi?

    Andiko lako bado halijakizi heading yake.....sijaona namna ya kuacha.
  3. be unique

    Ukienda Mjini kutafuta Maisha hakikisha unafanya haya

    Hakika hujapoteza muda kuandika.
  4. be unique

    Viwango vya hisia na mihemko katika kila ngazi za mahusiano ya kimapenzi

    Umejitahidi sana kuweka heading nzuri ila ndani ni utumbo tu (ngono sana)
  5. be unique

    Ilikuwaje mara ya kwanza ulipokutana na mtu mliyechati mtandaoni kwa nia ya kuwa wapenzi?

    Hongera sana mpaka sonona hujapata... maana ni zaidi ya kutesana kisaikolojia.
  6. be unique

    Maadhimisho ya miaka 60 ya muungano na idadi ndogo ya mahudhurio uwanjani, nini tatizo?

    Muda mwingine tusitumie mihemko kujadili kitu, kwa akili ya kawaida unaona mvua ipo.
  7. be unique

    Tujadili kidogo kuhusu baadhi ya tabia ambazo watu huziona za kawaida ila zinakera sana

    Nilichogundua wewe ni mtu ambae unaelewa maana ya ustaarabu na jinsi ya kuishi katika mazingira. Lakini ukweli mchungu ni kuwa upo katika kundi la kiswahili ambalo sio level zako.
  8. be unique

    Nachukiwa na bosi wangu bila sababu

    (Kiuhalisia imefika mahali Sasa ,nataka kwenda kumloga huyo basi wangu mana naona chuki zimezidi kupita kiasi) Sasa hii ndio ilikuwa point yako ila sehemu nyingine ulikuwa unatafuta uhalali tu.
  9. be unique

    Chaguzi mbili kuu pale unapogundua mkeo anakusaliti

    Hili nalo inabidi tulitazame kwa makini.
  10. be unique

    Mwanaume jitahidi kujua msimamo wako kiimani na usimame nao kabla hujaingia kwenye ndoa

    Nilitaka kucomment kabla ya kusoma ila baada ya kusoma nimepata wazo zuri. Kiukweli awa wababa wa kiroho sio poa sasa hivi na wanawake wanavyomezeshwa ndivyo wanavyokula, ni muhimu sana kuwa na msimamo wa kiimani.
  11. be unique

    Men Code

    Ndio maana wanaume tunakufa mapema na nyumba tunawaachia wanawake.
Back
Top Bottom