Recent content by Bayebe

  1. B

    Kivukoni - Kigamboni maamuzi magumu yafanyike; Wakazi watafute mbadala wa kutumia Kivuko maana kinafanya kazi kimoja

    MH. RAIS SAMIA ANAHITAJI WATENDAJI WA DHATI KIVUKONI KIGAMBONI NA MANISPAA KWA UJUMLA Umati ni mkubwa. Kivuko kimoja tu ndio kinachofanya kazi Muda wa kusubiri ni zaidi ya Saa moja
  2. B

    Kamati ya Bunge yabaini Mwendokasi wanajiendesha kwa hasara

    Hasara ni kwa kutokuwa Wabunifu... Ongezeni ,Tengeni Ma-bus kadhaa kwa huduma ya VVIP zenye Kadi Maalumu ...Mbezi Kivukoni 3000/= Ubungo - Posta 2000/= iwe ni Level Seat- Express Tutayaacha Magari Nyumbani
  3. B

    Kamati ya Bunge yabaini Mwendokasi wanajiendesha kwa hasara

    Hasara ni kwa kutokuwa Wabunifu... Ongezeni ,Tengeni Ma-bus kadhaa kwa huduma ya VVIP zenye Kadi Maalumu ...Mbezi Kivukoni 3000/= Ubungo - Posta 2000/= Level Seat Tutayaacha Magari Nyumbani
  4. B

    Watumishi wengi wa Serikali hawana tija. Mishahara inapotea bure

    Acha Wivu, wanafanya kazi kubwa, na niwalipaji wa Kodi wazuri ya Kila Mwezi na Kodi Zingine wanalipa pia
  5. B

    Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

    Wamasai hao waondoke, na ni Lazima... Linapokuja suala la Maslahi ya Taifa ,Ardhi Mmiliki wake Mkuu ni Rais kupitia Kamishna wa Ardhi Kama Kuna wanaopaswa kulipwa Fidia na iwe hivyo. Tatizo suala hili ndani yake Kuna wanasiasa wananufaika nalo
  6. B

    Ningekutana na Rais leo, Nimgemwuliza kwanini amemtoa Mchengerwa Utawala Bora

    Mchengerwa Smart Sana Alianzisha utaratibu wa App ya Mtumishi unawasilisha Kero yako moja kwa moja na unajibiwa (e-mrejesho, e- Malalamiko)
  7. B

    Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

    Prof. Ndalichako, kwa aliotufundisha Statistics Udsm, tunaujua umuhimu wake na Madini kichwani aliyonayo.
  8. B

    Mnaombeza Prof. Ndalichako, amesoma PhD University of Alberta Canada

    Prof. Ndalichako, kwa aliotufundisha Statistics Udsm, tunaujua umuhimu wake na Madini kichwani aliyonayo.
  9. B

    Mgomo wa Daladala Kigamboni

    Leo Tar 20 May 2021 kuanzia Majira ya Asbuhi Magari ya Abiria maarufu kama Daladala Yaendayo Kigamboni Kupitia Daraja kuu la Kigamboni (Mwl.Nyerere) Yamegoma kufanya Safari zake kutoka Kigamboni hadi Karume Ilala kupitia Kilwa Road. Sababu ni Kupinga kuhamishwa kwa Kituo kikuu cha Mabasi hayo...
  10. B

    Rais Samia aondoka Dar kuelekea Zanzibar kwa Mapumziko ya Sikukuu

    Umeandika hii post, ili Hasitekeleze hilo ulilo na wasiwasi nalo....Post yako ya Kimkakati
  11. B

    Aloyce Nyanda: Nimeongea na DC Kasesela alichomaanisha ni kumtaka kijana akae chini hakumtusi, Zanzibar wanasema "kaa kitako"

    Kwa kuwa Aliyekuwa akijibizana na DC alikuwa akitumia mdomo ktk Mazingira Yale ya Majibizano swali Kwanini asingeambiwa Tuliza Mdomo, na Akaambiwa Atulize Matako Swali pili Kilicho kuwa kinaleta bughudha kwa wakati ule ni mdomo au Matako
  12. B

    Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

    Mama Kaanza Vyema , Sapoti yetu kwake
  13. B

    Urais wa TLS hauna impact ya maana!

    Sioni Faida ya TLS kama wanashindwa kuwa na nguvu ya kuwashawishi au kuwaeleza wabunge madhara ya Sheria zinazowadhuru Raia ...Sheria Bodi ya Mikopo ..... Sheria ya Udhibiti wa Vyombo vya habari (2015)
Back
Top Bottom