msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Nabado ngoja tuendelee kusubiri.Baraza la Eid linafanyia ukumbini badala ya kwenye nyumba ya ibada?
Nabado ngoja tuendelee kusubiri.Baraza la Eid linafanyia ukumbini badala ya kwenye nyumba ya ibada?
😍😘😘 Burudika Mwanangu furaha tuliyonayo sio Ndogo natarajia Mwezi wa Sita nitakuwa Geita, Nyarugusu, Mugusu hadi Bukoli.Geitaaaa....rahaaaaView attachment 1785134
Umeandika hii post, ili Hasitekeleze hilo ulilo na wasiwasi nalo....Post yako ya KimkakatiNajua mama yetu atakuwa na muda mwingi wa kusoma mada zetu hapa jamiiforum....acheni tuendelee kusaga kunguni Kwa Alli happi najua mama akimaliza mapumziko anakuja kutoa kafara nyingine Kwa Alli happi
🤣🤣🤣Ndege Mwaka huu zitamkoma
Anaruka na dreamliner ya watu 100+ badala ya ile gulf stream ya family size.
Usiache kuifinyia kwa ndani basiYaan leo najiachia aisee....yaan leo sibaniii...naloweshaaa