Akili ya mtu mweusi haiwazi kuendelea bali inawaza namna yakurudishana nyuma ebu fikiria mfumo wa toka enzi za awamu ya kwanza mpaka leo hatujajua madharake na bado tunautukuza na tunaamini utakomboa wakulima.
Pole kama ulikuwa hujajua kuwa ni stori za kutunga.Nilisikilizaga stori tatu tofauti bila hata kuuliza mtu nikahitimisha kuwa ni stori za uwongo uongo tu
una tatzo kichwan yaani mkopo wa Zito unaulinganisha na wa serikali kukopa na kufanya deni la taifa lipae! vp deni la Zito limeifkisha wap deni la taifa?ona aibu mda mwingine
halafu mtu Fulani anasimama nakutuambia mahakama,bunge ni mihimili inayojitegemea.Mda mwingine tuache kujiuliza haya maswali eti kwann sisi ni maskini halafu wazungu wameendelea,sababu ndiyo hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.