Mlituchagua sasa kaeni kimya

Mlituchagua sasa kaeni kimya

Bishweko

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
4,414
Reaction score
3,055
Kila baada ya miaka mitano, Time ya Uchaguzi ( NEC) na ZEC wanaandaa na kusimamia changuzi kuu kama ubunge na urais. Nyie raia wa kawaida mkisha tupigia kula basi kaeni kimya maana mmekubali kua sisi ndiyo zaidi yenu.
Mkisha tuchagua tunafanya chochote bila shida.

Tunatunga sheria za kodi,ajira,ustawi wa jamii,habari ata na vyama vingi. Mkisha tuchagua hamna mamlaka ya kututuoa kwenye hizo nafasi kabla ya muda. Mnatuchagua sisi na sisi tunafanya maamuzi yoyote bila kuwategemea nyie.

Tunatumia kodi zenu kulidwa, kununua magari ya kifahari,mikopo mikubwa benki lakini pia tunakua na nguvu za kidola.

Mkisha tuchagua tunaweza kuwafunga gerezani,kuwachapa viboko,kuwakataza msiuze mazao yenu mnakotaka..Wakati wa kutafuta kula tunakua nanyi karibu ,tunacheza ngoma na kunywa ila mkisha tuchagua basi kunywa na nyie,kucheza na nyie au kushiriki na nyie mambo mbali mbali inakua hamna tena.

Mkisha tuchagua tunakosa imani na nyie ndiyo maana tunalindwa na mitutu na maji ya kuwasha.Mkisha tuchagua tunaweza kuamua mpigwe kipigo cha mbwa koko nk.

CHAGUA ILI UPOTEZE UHURU NA HAKI YAKO
 
Kila baada ya miaka mitano, Time ya Uchaguzi ( NEC) na ZEC wanaandaa na kusimamia changuzi kuu kama ubunge na urais. Nyie raia wa kawaida mkisha tupigia kula basi kaeni kimya maana mmekubali kua sisi ndiyo zaidi yenu.
Mkisha tuchagua tunafanya chochote bila shida.

Tunatunga sheria za kodi,ajira,ustawi wa jamii,habari ata na vyama vingi. Mkisha tuchagua hamna mamlaka ya kututuoa kwenye hizo nafasi kabla ya muda. Mnatuchagua sisi na sisi tunafanya maamuzi yoyote bila kuwategemea nyie.

Tunatumia kodi zenu kulidwa, kununua magari ya kifahari,mikopo mikubwa benki lakini pia tunakua na nguvu za kidola.

Mkisha tuchagua tunaweza kuwafunga gerezani,kuwachapa viboko,kuwakataza msiuze mazao yenu mnakotaka..Wakati wa kutafuta kula tunakua nanyi karibu ,tunacheza ngoma na kunywa ila mkisha tuchagua basi kunywa na nyie,kucheza na nyie au kushiriki na nyie mambo mbali mbali inakua hamna tena.

Mkisha tuchagua tunakosa imani na nyie ndiyo maana tunalindwa na mitutu na maji ya kuwasha.Mkisha tuchagua tunaweza kuamua mpigwe kipigo cha mbwa koko nk.

CHAGUA ILI UPOTEZE UHURU NA HAKI YAKO

Huu uchochezi auone jiwe.
 
Na wanatumia hii opportunity effectively,na kwa kuwa wanajua IQ ya watanzania hasa ya usahaulifu na kuto jua kua haki zao na basi tunabuluzwa kama mlev vile. Lkn kwa kuwa n haki yetu kushughulikiwa wacha maccm yatushughulikie vilivyo!
 
Samahani mkuu, hivi mbunge mpya wa Singida Mashariki amechaguliwa kwa kura ngapi!?
Nimejaribu kufuatilia sehemu tofauti lakini sijafanikiwa kuzipata hizo data.
 
Mkuu nimefurahishwa sana ulivyokuja na kichwa cha habari chenye kuwavutia makada wa CCM na kukerehesha wapinzani, lkn conclusive remark yako ikiwa ni vice versa. Enzi zetu style kama hiyo ktk soka iliitwa chogochemba.
 
Kila baada ya miaka mitano, Time ya Uchaguzi ( NEC) na ZEC wanaandaa na kusimamia changuzi kuu kama ubunge na urais. Nyie raia wa kawaida mkisha tupigia kula basi kaeni kimya maana mmekubali kua sisi ndiyo zaidi yenu.
Mkisha tuchagua tunafanya chochote bila shida.

Tunatunga sheria za kodi,ajira,ustawi wa jamii,habari ata na vyama vingi. Mkisha tuchagua hamna mamlaka ya kututuoa kwenye hizo nafasi kabla ya muda. Mnatuchagua sisi na sisi tunafanya maamuzi yoyote bila kuwategemea nyie.

Tunatumia kodi zenu kulidwa, kununua magari ya kifahari,mikopo mikubwa benki lakini pia tunakua na nguvu za kidola.

Mkisha tuchagua tunaweza kuwafunga gerezani,kuwachapa viboko,kuwakataza msiuze mazao yenu mnakotaka..Wakati wa kutafuta kula tunakua nanyi karibu ,tunacheza ngoma na kunywa ila mkisha tuchagua basi kunywa na nyie,kucheza na nyie au kushiriki na nyie mambo mbali mbali inakua hamna tena.

Mkisha tuchagua tunakosa imani na nyie ndiyo maana tunalindwa na mitutu na maji ya kuwasha.Mkisha tuchagua tunaweza kuamua mpigwe kipigo cha mbwa koko nk.

CHAGUA ILI UPOTEZE UHURU NA HAKI YAKO
umesahau py.....py....
 
Back
Top Bottom