Kilichozungumziwa ni vichwa vya treni na si mabehewa kiongozi,kuonyeshwa kwa mabehewa kwenye habari hakumaanishi kuwa ndicho alichokuwa anazungumzia rais,
Kiitifaki makamu wa rais yupo juu ya rais wa Zanzibar,na ndio sababu ata katika dhifa za kitaifa(Muungano)rais wa Zanzibar anafika kabla ya makamu wa rais.
M
Mkuu usizungumze kiurahisi hivyo kwa kuwa upo nyuma ya keyboard,huwezi jua watekaji wamempa masharti gani ya kuwezesha kumfunga mdomo,usitake akufurahishe wewe kwa kutamka unachokifikiria huku yeye akiteketea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.