Mwanzo ni mgumu ila unaweza kuanza na kupunguza vyakula vyenye sukari na mafuta.
Tuseme umefanya mazoezi asubuh hapo lazima uwe na njaa ya kutosha na kawaida mwili utalazimisha ule sana ushibe urudishie ulipotoa.
Kunywa chai na viazi au mihogo yani kwa kifupi epuka mafuta mafuta kama...
Yani mazoezi na chakula vinaenda pamoja kwenye kupunguza mwili.
Ukiwa na nidham ya chakula na ukafanya mazoez lazima tu upungue hata km kuna mkono wa mtu.
Punguza vyakula vya sukari, pombe hata sukari kwenye chai, juice n.k kwa kuanzia na uwe na ratiba yako ya chakula na mazoezi bila kukosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.